palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,459
Ndicho nilichowambia Mkandara hicho,EL kashikilia kwenye kamali...Kutachimbika kama ni kweli,trust me!Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
kama angekuwa mwizi saa hizi angeshasahaulika kile kinachomfanya aendelee kuwa Lowasa hadi leo ndicho kinachoniaminisha yeye si mwizi bali kule kuachia kwake uwaziri mkuu kulikuwa kwa kujitolea tu. Alijitolea kuumia yeye ili wengine hata kama ni. wachache wapone. Binafsi ninamheshiimu kwa hilo.MWIZI TU HUYO NAYE WOTE WEZI SERIKALI INANUKA SIJUI KINA NAI HUWA WANAIPIGIAGA KURA CCM vICHWA VYAO SIJUI VIKOJE NA WENGI WAPO HUMU JF AAAGHHHHHH