Ukweli gani tena? Mbona alikwishasema na kurudia kile anachokijua kwamba Kikwete hawakukutana barabarani? Wahenga waliosema: Nionyeshe rafiki yako, nikuambie tabia yako walikosea?
Mkuu hivi si inasemekana kulikuwa na ripoti mbili?Kama hii ni kweli basi huyu jamaa anazidi kuonyesha jinsi asivyostahili kuwa Rais wa nchi yetu 2015. Yaani kuna madudu yalifanyika kuhusiana na mkataba wa Richmond/Dowans naye anayajua lakini kaamua kutuficha Watanzania miaka yote hii, sasa anaona maslahi yake yanataka kuharibika ndio anataka kutueleza nini kilichojiri!!!! Mwalimu aliona mbali sana pale aliposema huyu jamaa hastahili kabisa kuwa Rais wa nchi yetu.
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Mkuu hivi si inasemekana kulikuwa na ripoti mbili?
wanapenda wayoyaita magamba yawavuke, lakini bahati mbya yako miilini mwao. Wakiyavua yakavulika, wao watakuwa uchi maana nguo yao ni hayo. Na kama wakijitahidi sana kuyavua, tutayaona makovu makubwa ya ufisadi yaliyo miilini mwao na hilo linogopwa zaidi. Wanaowaita mahamba si wakubwa wala nchi, bali ni wale wanaovizia mifupa idondokayo mezani pa wala nchi. Lowasa alikuwa waziri mkuu shupavu, Chenge alikuwa mwanasheria makini. Hawawezi kufanya ujinga wowote ambao wanaujua matokeo yake. Kwa hili lazima walikuwa wengi wakijua hakuna wa kuwauliza matokeo yake. Narudia; kama wao ni magamba,kama ni ya mti basi mti wenyewe upo na magamba hayo yakikwatuliwa mti nao utajifia kwa kunyauka. Na kama ni ya nyoka basi nyoka huyu ni wa jamii ya kenge asiye na desturi ya kujivua gamba la akilazimisha kujivua basi kenge nalo libaki bila ngozi nal bila shaka litajifia.Inawezekana Mkuu lakini sina hakika, inaelekea Magamba wameingiwa na woga wa hali ya juu katika kuwafukuza Lowassa na Chenge. Kwa mara nyingine tena inaelekea Magamba yatashindikana kuvuliwa. Tusubiri ili kujua kitakachojiri.
Kwa hiyo hasemi ukweli kwa sababu yuko NEC.....Huu uongo mwingine hauna hata kipimo..
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Hata akitaja ataendelea kudharaulika, kwasababu angekuwa Mzarendo angesema tuu bila kujari kitu chochote. Lowasa ni fisadi tuuWakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Wakati makundi mawili hasimu yale yanayomuunga na kutomuunga Lowassa yakitunishiana misuli kuhusu kuvuliwa gamba kwa kutumia kashfa ya richmond, lowassa amenukuliwa na watu wake wa karibu akisema huu utakuwa wakati mwafaka kwake kusema kila ukweli anaoujua kuhusu richmond.
Chanzo: Tanzania Daima
Lowasa bana, anazeeka vibaya sana; anatuambia kuwa anasiri kubwa ya ukweli wa Richmon, na anajua kuwa tunachokifaham sisi Watanzania wa kawaida kuhusu Richmond ni uwongo wa maksudi! Kwa kitendo chake cha kuwaficha watanganyika ajue ni kushiriki uhalifu! Tukilegeza kamba huyu jamaa atakuja kuwa raisi wa Tanganyika Miaka michache ijayo, na nina hakika ataendeleza siasa na utendaji wa kulindana kimakundi kama anavyofanya Mkweere! Simwamini hata kidogo huyu mzee.
Lowasa bana, anazeeka vibaya sana; anatuambia kuwa anasiri kubwa ya ukweli wa Richmon, na anajua kuwa tunachokifaham sisi Watanzania wa kawaida kuhusu Richmond ni uwongo wa maksudi! Kwa kitendo chake cha kuwaficha watanganyika ajue ni kushiriki uhalifu! Tukilegeza kamba huyu jamaa atakuja kuwa raisi wa Tanganyika Miaka michache ijayo, na nina hakika ataendeleza siasa na utendaji wa kulindana kimakundi kama anavyofanya Mkweere! Simwamini hata kidogo huyu mzee.