[emoji1][emoji1][emoji2][emoji1][emoji1]mwandende wee naogopa!Mkuu weka code ,changanya na finger print password.
Lete vyombo uwanjani.
Na bado aachwe kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!(kamati ya roho mbaya inasaga kunguni)[emoji23][emoji23][emoji23]mumemfanya hadi karudi toka dubai
Kabisaaaa!!!Yes ukila na vigogo be careful they have nothing to loose na wadada wengi wamepotea hivi hivi
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji28][emoji28][emoji38]acha ujingaaa...mengine chumbani baba!wanaosoma nao wajiunge jf sasa tumuongezee watu max!Nawe mwoga sana, mwaga hapa...
Breki praisi?
Kutifuliwa?
Hivi yule dada alikuwaga na msambwanda mpolee aliliwa kichwa na nani?
Kwa kweli wajiunge tu. Waache kuibia ibia[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji28][emoji28][emoji38]acha ujingaaa...mengine chumbani baba!wanaosoma nao wajiunge jf sasa tumuongezee watu max!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaga vyombo mkuu,,,usihofu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atalia sanaNa bado aachwe kabisaaaa[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!(kamati ya roho mbaya inasaga kunguni)
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani anahangaika wewe mtu kifupi ka stuli unaenda ongeza tako na hips siunakuwa mulemavu ujue kila mtu alivoumbika ndio ilivotakiwa kuendana na kimo. Sasa huyo hata sura haivutii anaongezea kishimo ka Cha mdako huko usoni.Mwehu yule Dada hajaona cha kuweka kaweka dimples!
Wabongo movie bwana!hajapendeza ana sura baya[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dimple huwa haiko hvo sasa inabonyea before ku smile hafu iko huku chini ya shavu la chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lkn amependeza
Mtu mzima tu huyo mno anajificha kwenye kichaka Cha injiliHivi huyo bibi ana miaka mingapi?
Huyo ni malaya jmn msimtukane YesuMtu mzima tu huyo mno anajificha kwenye kichaka Cha injili
Yeye anajifanya kaokoka ila matendo zero Plus ushirikinaHuyo ni malaya jmn msimtukane Yesu
Dhaaaaaaa Bora utusaidieNawe mwoga sana, mwaga hapa...
Breki praisi?
Kutifuliwa?
Haoni hata sura ni ya kiume?Hzo dimples kwa hisani ya sugeryView attachment 1890599View attachment 1890600View attachment 1890601
Hawa wadangaji skuhiz turkey wanaenda kam kwenda kariakoo yani tozo zetu znatesekaHzo dimples kwa hisani ya sugeryView attachment 1890599View attachment 1890600View attachment 1890601
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo anahangaika ivutie alisema kuongezewa na dawa ya kuongeza urefu basi angeinywa hyo dawaHaoni hata sura ni ya kiume?
Umeona eeeh ni shidaHawa wadangaji skuhiz turkey wanaenda kam kwenda kariakoo yani tozo zetu znateseka
Jaman
Bora ww una binti mmoja Mimi nina mabinti 4 visu nikiangalia na hii mishenzi ya mjini nabaki najiinamia nashika tama!!Wanaume wa kawaida tunafyatua vitu hatari.
Nina binti yangu mrembo nikianza kuwaza kuhusu hii dunia naishia kunyanyua mikono juu. Daah