Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hivi vitu mkuu aya maisha acha tu,,
Kila nikiwangalia hawa ndugu zangu bwana shetani na yule wa tabata siamini kama wamekua wakubwa kias hiki,,
Naona kama jana vile nawaona wanapanda daladala [emoji28][emoji28],
Skuiz wakipita vioo vimetuziba.
Kesho yetu anaijua mungu t aisee.
Na yule wa tbt ashawahi kuliwa sjui kaacha enzo hzooo!!!mpk kina joti wakaigiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie munalove kafanya surgery ya dimpoziii!!!heheeheeh....jamani yule Dada nae kazi anayo mlokole fekero

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hajapendeza amekuwa ka kapata ajali mashavuni hafu hajui dimples huendana na uzuri wa mtu na face structure, in short kajiharibu dimples gani hujacheka inabonyea, atulize wenye nazo tusipo smile inakuwa kawaida uki smile ndo zinatokea na kupendeza sio hyo yake kawa ka kingedere vile [emoji23][emoji23]
 
Hata hajapendeza amekuwa ka kapata ajali mashavuni hafu hajui dimples huendana na uzuri wa mtu na face structure, in short kajiharibu dimples gani hujacheka inabonyea, atulize wenye nazo tusipo smile inakuwa kawaida uki smile ndo zinatokea na kupendeza sio hyo yake kawa ka kingedere vile [emoji23][emoji23]
Hivi huyo bibi ana miaka mingapi?
 
Hata hajapendeza amekuwa ka kapata ajali mashavuni hafu hajui dimples huendana na uzuri wa mtu na face structure, in short kajiharibu dimples gani hujacheka inabonyea, atulize wenye nazo tusipo smile inakuwa kawaida uki smile ndo zinatokea na kupendeza sio hyo yake kawa ka kingedere vile [emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂😂 lkn amependeza
 
Hata hajapendeza amekuwa ka kapata ajali mashavuni hafu hajui dimples huendana na uzuri wa mtu na face structure, in short kajiharibu dimples gani hujacheka inabonyea, atulize wenye nazo tusipo smile inakuwa kawaida uki smile ndo zinatokea na kupendeza sio hyo yake kawa ka kingedere vile [emoji23][emoji23]
Mwehu yule Dada hajaona cha kuweka kaweka dimples!
Wabongo movie bwana!hajapendeza ana sura baya[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom