Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yule wa wanawake na maendeleo,kumbe alishawahi taka kunywa sumu afe,Jana nimemsikia alikua live kwenye kipindi cha Three Sixty,pale mawinguni! Ohhh sasa hivi,naendesha gari zuri,nalala vizuri,nakula chakula kizuri,naenda Nchi yoyote nitakayo mda wowote! Kwa hiyo usikate tamaa!Maneno yake! Motivation speaker
 
Haimaanishi nina mmoja bali nasema ninaye binti mrembo
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] umekana kabisa mapema [emoji1][emoji1]
Bora ww una binti mmoja Mimi nina mabinti 4 visu nikiangalia na hii mishenzi ya mjini nabaki najiinamia nashika tama!!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]alaf huku chin kuna 20s znamea Kwa kas Sana mpaka unasema kifo
Kilifuata nn
 
Nikiwaza kile kiharufu cha ngenya chakavu duh! Vibi huwa vinanukaga harufu za ajabu flani halafu et kijana mtanashati nizamie pangoni nipige deki 😌😌😌

Msafishe na limao, inakata harufu kisha amalizie kwa kuosha na shower gel yenye manukato ya vanilla au jasmeen
 
Huyo huyo mtt wa kipemba alikuwaga na initial ya Dijei
Daah huyo initial ya dijeu ujue aliambiwaga aache kazi pale mawinguni akafunguliwa duka kubwa la nguo na mtoto juu wa kiume na yule tajiri wa usafirishaji mwenye jina la maombi sema ndo hvyo demu wa kitelephoni akamnyakua na tatoo ya jina lake akachora chezea nyakunyaku wa mji
 
Yani anahangaika wewe mtu kifupi ka stuli unaenda ongeza tako na hips siunakuwa mulemavu ujue kila mtu alivoumbika ndio ilivotakiwa kuendana na kimo. Sasa huyo hata sura haivutii anaongezea kishimo ka Cha mdako huko usoni.
Halafu anajiita mlokole huyoo[emoji16] na hivi anauza nganda hela haina kazi jmn... afu ushost wao na mrs singeli uliishia wapi
 
Halafu hajaelezea njia alizotumia kufikia hapo
 
Halafu anajiita mlokole huyoo[emoji16] na hivi anauza nganda hela haina kazi jmn... afu ushost wao na mrs singeli uliishia wapi
Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
 
Yani anahangaika wewe mtu kifupi ka stuli unaenda ongeza tako na hips siunakuwa mulemavu ujue kila mtu alivoumbika ndio ilivotakiwa kuendana na kimo. Sasa huyo hata sura haivutii anaongezea kishimo ka Cha mdako huko usoni.
Haivutii kweli kabisaa![emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…