Duh basi ana mwili wa kukua haraka
Tajiri mtata sarahhDaah huyo initial ya dijeu ujue aliambiwaga aache kazi pale mawinguni akafunguliwa duka kubwa la nguo na mtoto juu wa kiume na yule tajiri wa usafirishaji mwenye jina la maombi sema ndo hvyo demu wa kitelephoni akamnyakua na tatoo ya jina lake akachora chezea nyakunyaku wa mji
Daah!ndo nimekumbuka sasa!kumbe nshapewaga story mambo mengi...watu wa ngada wameondoka nae!!!mnakumbukaga alikamatwa na mzigo wa 9billions!ule ulikua wa kigogo wale ndo wamemsepesha waleee
Alikuwa kigogo yupi?Daah!ndo nimekumbuka sasa!kumbe nshapewaga story mambo mengi...watu wa ngada wameondoka nae!!!mnakumbukaga alikamatwa na mzigo wa 9billions!ule ulikua wa kigogo wale ndo wamemsepesha waleee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]mi mtoto wa mjini born here here kwetu buguruni malapa hapoo!!magari ya mji mzima unayapata...!!!kariakoo kwa mguu unafika,posta nafata njia ya reli tu[emoji2][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28]nyuma nyuma....nshatimbaa!!![emoji28][emoji28][emoji28]..mkuu mpaka natamani kukujua adi hii unayo,,..
Hii story kubwa sana ilala na wat wengi wanaifahamu,,.
Ila yule mtu anaheshmika sana maeneo haya,,
Watu wakafunika kombe mwanaharam apite,,
Hilo tukio lilitokea kwao kbsa ilikua balaa kubwa skuiyo.
[emoji23][emoji2][emoji1][emoji1]pole cha kufanya unga tela tuHuu uzi umenishinda kila nikija shituka uwii mita kadhaa mie hoi
Yaani nimechoka kabisaaa aiseee dunia ina mambo hii sijui kituo kinachofuata ni kipi nishuke[emoji51][emoji51][emoji51]Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
Wewe utakuwa teacher wewe[emoji38][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]mi mtoto wa mjini born here here kwetu buguruni malapa hapoo!!magari ya mji mzima unayapata...!!!kariakoo kwa mguu unafika,posta nafata njia ya reli tu[emoji2][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28]nyuma nyuma....nshatimbaa!!!
Naijua mdaa inafika hata miaka 6 inapita [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauza Sanaaa na hilo kasemaa?!!Yule wa wanawake na maendeleo,kumbe alishawahi taka kunywa sumu afe,Jana nimemsikia alikua live kwenye kipindi cha Three Sixty,pale mawinguni! Ohhh sasa hivi,naendesha gari zuri,nalala vizuri,nakula chakula kizuri,naenda Nchi yoyote nitakayo mda wowote! Kwa hiyo usikate tamaa!Maneno yake! Motivation speaker
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2]nyie hebu hukooo mi simoo[emoji85][emoji85][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji86]Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
Daahhh!!!mjini ukimwi unazungukaaa...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Daah huyo initial ya dijeu ujue aliambiwaga aache kazi pale mawinguni akafunguliwa duka kubwa la nguo na mtoto juu wa kiume na yule tajiri wa usafirishaji mwenye jina la maombi sema ndo hvyo demu wa kitelephoni akamnyakua na tatoo ya jina lake akachora chezea nyakunyaku wa mji
Endelea kubisha tuShule sio mkate ...banda la kuishi hana itakua shule
Sawa teacher
Ila huyu kumi na mbili anaga hizo mishe Sema watu wanamuongelea tu vibayaHuyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
😅😅..kweli kbsa mkuu ina miaka kama 6,7 nyyma uko sahihi kabisa..[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]mi mtoto wa mjini born here here kwetu buguruni malapa hapoo!!magari ya mji mzima unayapata...!!!kariakoo kwa mguu unafika,posta nafata njia ya reli tu[emoji2][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28]nyuma nyuma....nshatimbaa!!!
Naijua mdaa inafika hata miaka 6 inapita [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii code ya malaika inahitaji namba 8 box kuitekenyua😅 nimetoka kap
Ze baba KA I LAAAKwa baba k hapoo shoo
[emoji91][emoji91][emoji91]