Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Tajiri mtata sarahh
 
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji28][emoji38]mi mtoto wa mjini born here here kwetu buguruni malapa hapoo!!magari ya mji mzima unayapata...!!!kariakoo kwa mguu unafika,posta nafata njia ya reli tu[emoji2][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28]nyuma nyuma....nshatimbaa!!!
Naijua mdaa inafika hata miaka 6 inapita [emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
Yaani nimechoka kabisaaa aiseee dunia ina mambo hii sijui kituo kinachofuata ni kipi nishuke[emoji51][emoji51][emoji51]
 
Wewe utakuwa teacher wewe[emoji38]
 
Kauza Sanaaa na hilo kasemaa?!!

Wasituchoshe kama kina Jiko La wazi...wamefanya upundaa na kukoboana sasa hivi wameokoka!!wamekua motivational spikaz!!na mbulu muuza dawa za kupungua ye mwili temboo!wamekua mapunda mpk wamegombana wamedhulumiana nawadaiz wanajifanya walokole...ptuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji38][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2]nyie hebu hukooo mi simoo[emoji85][emoji85][emoji86][emoji86][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji86]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daahhh!!!mjini ukimwi unazungukaaa...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mlokole jina huwa anauza unga long time tu ndio maana ana hela za kuchezea. Urafiki wao sijui ulikufaje kufaje aisee.
Dear umesikia ubuyu wa price breaker na b kumi na mbili huko?
Ila huyu kumi na mbili anaga hizo mishe Sema watu wanamuongelea tu vibaya
 
😅😅..kweli kbsa mkuu ina miaka kama 6,7 nyyma uko sahihi kabisa..
Tunamheshm t ndugu yetu kombe likafunikwa mwanaharam akapita
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…