Acha waolewe tu huyo nenga si graduate kabisaNenga me naona Hana tofaut na
Kusah ukiongeza na whoz
Mzik umewashinda
Mwaga ubuyu watu wajue unamlindiaje heshima huku ana waweka njaaNakwambiaje , Nandy ni Bahili sijapata kuona
Mambo mengine namlindia heshima , yeye alipe madeni
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nmeona press conference ya whoz Jana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakin akili kisoda sasaAcha waolewe tu huyo nenga si graduate kabisa
Wanaishi maisha ya kuigiza sana ujueKabisa ukubwa wa kina Tu huyo
Elimu haijmasaidia anataka maisha mazuriAcha waolewe tu huyo nenga si graduate kabisa
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]tusage kunguni!Mwaga ubuyu watu wajue unamlindiaje heshima huku ana waweka njaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hata mm nashangaaMwaga ubuyu watu wajue unamlindiaje heshima huku ana waweka njaa
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]tusage kunguni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnataka umbea[emoji3][emoji16][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hata mm nashangaa
Sana unamheshimu vip mtu hakulipi
Eeeh...maisha ya tozo ni taaabu tupu na kesho mabando yanaongezwaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ni shiida
Hahaaa wapenda umbeya tuko vizuri[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]tusage kunguni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonyesha anamuonea aibu mtu asiye wajali kwa haki yao[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hata mm nashangaa
Sana unamheshimu vip mtu hakulipi
Kasemaje huyo whozu nchi hii hadi vichaa wanaita press conference[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nmeona press conference ya whoz Jana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaa Lakin akili kisoda sasa
Ila Mondi na bi mkubwa siwaelewi, maza ana wivu kwa mwanae kama mme wake [emoji38]Alikuwa kajipa hati fungani kwa Almasi kuwa atasafiria nyota [emoji28] kumbe bi.mkubwa nae anamlia Radar
Ila hyo nandy festival naamin hajaingiza hela nying aisee..nadhan anajenga jina ikue tu..imagine ana wasanii wangap wana perfom..anawalipia kilaa kitu hotel.misos etc na kuzunguka mikoan.. uandaj wa show etc..na naamin skuhiz wasanii hawapokei si chin ya 1m hyo toa malaz chakula etc...bado crue nzima ya kaz nzima..ndomana unakuta anayumba..kuna uwezekano ni mbahil kwel ila pia nandy festival haimlip kihivyoo..viingilio vyenyew vya buk 3...imagine hata waingie watu elf5...au elf10...hamna kitu mzee..ndomana wafadhili wanasaidia ku endorse hzo pesa kidogo...Kama Kuna watu wa timu Yake wako humu watakuwa wanajua ukweli na wanajua hiki ninachosema sema hawawez kuongea.
Huyo demu Ni bahili sijapata kuona.
Ni kweli, ndombolo amekula sana paleMnooo!halafu ujue alitemwa kisa kuliwa na mzee wa ndombolo....!!!
Haya maden hebu jamaa aweke kitabuIla hyo nandy festival naamin hajaingiza hela nying aisee..nadhan anajenga jina ikue tu..imagine ana wasanii wangap wana perfom..anawalipia kilaa kitu hotel.misos etc na kuzunguka mikoan.. uandaj wa show etc..na naamin skuhiz wasanii hawapokei si chin ya 1m hyo toa malaz chakula etc...bado crue nzima ya kaz nzima..ndomana unakuta anayumba..kuna uwezekano ni mbahil kwel ila pia nandy festival haimlip kihivyoo..viingilio vyenyew vya buk 3...imagine hata waingie watu elf5...au elf10...hamna kitu mzee..ndomana wafadhili wanasaidia ku endorse hzo pesa kidogo...
Ila cha msingi alipe maden na aache show offs huku anadaiwa
Bi mkubwa n Kama anataka mwanaeIla Mondi na bi mkubwa siwaelewi, maza ana wivu kwa mwanae kama mme wake [emoji38]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kama haimuingizii hela asiwe anasaini hela za wanaume!Ila hyo nandy festival naamin hajaingiza hela nying aisee..nadhan anajenga jina ikue tu..imagine ana wasanii wangap wana perfom..anawalipia kilaa kitu hotel.misos etc na kuzunguka mikoan.. uandaj wa show etc..na naamin skuhiz wasanii hawapokei si chin ya 1m hyo toa malaz chakula etc...bado crue nzima ya kaz nzima..ndomana unakuta anayumba..kuna uwezekano ni mbahil kwel ila pia nandy festival haimlip kihivyoo..viingilio vyenyew vya buk 3...imagine hata waingie watu elf5...au elf10...hamna kitu mzee..ndomana wafadhili wanasaidia ku endorse hzo pesa kidogo...
Ila cha msingi alipe maden na aache show offs huku anadaiwa