raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ela za watu zipiKama nasema uongo Mungu aniadhibu.
Nandy acha ubahili lipa pesa za watu.
Ni hela za viingilio hakuja kwenye show au mlitoa huduma kwake na hamkulipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ela za watu zipiKama nasema uongo Mungu aniadhibu.
Nandy acha ubahili lipa pesa za watu.
Yani hii comment yako imenifanys niielewe hii codeMaanina..hyo code nime i crack kitaalam...hahahaha...yule anausambaza tu umeme..mzee wa rhymes kabak na car wash tu
Ttzo kabila lake ndo mana na yy n mbahiriManzi hela anayo aiseeh!
DSTV wamempa milion zaidi ya 150 kuigiza ile tamthilia yao.
Nandy festival TTCL wamempa zaidi ya Milion 150 na Bia ya Guinness wakampa milion 20.
Hapo sijaja kwenye music Streaming platforms na dili zingine Kama endorsement. Hela anayo Nandy trust me! Tena ipo
Ila Huyo manzi Ni bahili sijapata kuona. Hata Kama umefanya nae kazi shida kulipa.
Mkuu hebu mwaga kidogo roboKama haimuingizii hela asiwe anasaini hela za wanaume!
Halafu hizo festival Hakuna kutegemea gate collection maana mdhamini ameshalipia kila kitu , gate collection Ni za msanii kuongezea tu .
Ni Kama Nandy festival Zanzibar waliinyima vibali ikafanyika late na kidogo itokee vurugu (Imagine festival ilifanyika kwa masaa kama manne tu) na watu wametoa viingilio. Na watu hawakufika hata 100 kwasababu serikali a Zanzibar walizingua kinyama kutoa vibali, ila hayo yote yanatokea tayari alikuwa ameshasaini zaidi ya milion 150+ kutoka TTCL.
Wasanii wanapewa milion 1 moja ni professional Jay ndio alipewa 1.5 tu.
Hiyo hela inatosha. Yeye alipe madeni tu.
Tunamuheshimu hatutaki kumwaga mboga hapa.
Chawa wake wampeleke taarifa.
ImagineInaonyesha anamuonea aibu mtu asiye wajali kwa haki yao
Watani zangu huwa ni wabahili hata wa misosi Yao yani lohTtzo kabila lake ndo mana na yy n mbahiri
Ukikaa kidogo Azam na dstv naoEeeh...maisha ya tozo ni taaabu tupu na kesho mabando yanaongezwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipe hela zenu bwana huyo nanderaKama haimuingizii hela asiwe anasaini hela za wanaume!
Halafu hizo festival Hakuna kutegemea gate collection maana mdhamini ameshalipia kila kitu , gate collection Ni za msanii kuongezea tu .
Ni Kama Nandy festival Zanzibar waliinyima vibali ikafanyika late na kidogo itokee vurugu (Imagine festival ilifanyika kwa masaa kama manne tu) na watu wametoa viingilio. Na watu hawakufika hata 100 kwasababu serikali a Zanzibar walizingua kinyama kutoa vibali, ila hayo yote yanatokea tayari alikuwa ameshasaini zaidi ya milion 150+ kutoka TTCL.
Wasanii wanapewa milion 1 moja ni professional Jay ndio alipewa 1.5 tu.
Hiyo hela inatosha. Yeye alipe madeni tu.
Tunamuheshimu hatutaki kumwaga mboga hapa.
Chawa wake wampeleke taarifa.
Ni kweli eti hukutana na mamake kishirikina kisa masharti ya kalumanzila sasa usikute ndo wivu unaanzia hapoBi mkubwa n Kama anataka mwanae
Ampge dudu na amlipe cjui
Unaoneaje wivu dyudyu ya mwanao
Kwa waschana wake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Watan zetu hawa wamezid kwakweliWatani zangu huwa ni wabahili hata wa misosi Yao yani loh
Ttzo macelebrity wa bongo wanafake sn mai![]()
kakudhulumu nini mzee babaa!!!!?daahh hawa wasanii hawa![]()
Yale Yale ya divathe boss uchwara anakopa halipi jamani hivi wana shida gani?
Mama kuki nae akawapiga kina wopa pesa za upatu!!kaaahhh sijui wana shida gani!jamani jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ttzo macelebrity wa bogo wanapenda kufake maisha yn[emoji16][emoji23][emoji2]kakudhulumu nini mzee babaa!!!!?daahh hawa wasanii hawa
Yale Yale ya divathe boss uchwara anakopa halipi jamani hivi wana shida gani?
Mama kuki nae akawapiga kina wopa pesa za upatu!!kaaahhh sijui wana shida gani!jamani jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo bwana n kamaNi kweli eti hukutana na mamake kishirikina kisa masharti ya kalumanzila sasa usikute ndo wivu unaanzia hapo
Na ana wivu haswaaaBi mkubwa n Kama anataka mwanae
Ampge dudu na amlipe cjui
Unaoneaje wivu dyudyu ya mwanao
Kwa waschana wake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sana yani Hadi nahis ndo chaNa ana wivu haswaaa
Kwahiyo mmakonde nae yupo grid ya taifa [emoji15]K najua mda sanaa!alikua anachukua mwananyamala akaacha,sasa Siku moja alisahau vidonge vyake ndo siri ilipofichuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ina mambo hiii, lkn lisemwalo lipoNi kweli eti hukutana na mamake kishirikina kisa masharti ya kalumanzila sasa usikute ndo wivu unaanzia hapo
Na huyo mama alivo na vituko ss, mtandaoni tu yupo vile je nyuma ya pazia anakuaje. Na ana kisirani kibaya sn had leo hampendi wala hampost mjukuu wake.Sana yani Hadi nahis ndo cha
Huyu kijana kutokaa na mwanamke
Kwenye nyumba
Ndo najiuliza hizi show off anayopewa semaji la mabingwa n za bure bure au nae mtaalam wa blow job[emoji2961][emoji2961]Wale ni mahasimu wa mnyama lakini hujawahi skis kashfa ya mzee was tazara?!!![emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga Tu na ufala wa kutokujitambuaNa huyo mama alivo na vituko ss, mtandaoni tu yupo vile je nyuma ya pazia anakuaje. Na ana kisirani kibaya sn had leo hampendi wala hampost mjukuu wake.
Kumbe hawajaachana?Nenga amekuwa Mario wa Nandy wanaishi Mbezi hapo