kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Kama namsingizia akanushe Kama hadaiwi mamilion ya Nandy festival.
Huyu manzi ana roho chaaaaaaafu ni suala la muda ataporomoka kimuziki maana linapokuja suala la hela ni ibilisi na anadhulumu Haki ya mtu.
Nandy Kama unasoma humu lipa madeni ya watu ni dhambi Sana kula hela za watu
Resti ama
Yule manaager gabachol mwenye mitatoo..duh..kwel njaa mbayaKuna uzi aliuleta Warumi juu ya hawa washkaji na hiyo hotel.. watu walifunguka saaaaaana
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Huyo cheni yake ni balaa..ndoman yule msomali alizimia siku ya mazishiMasoG si alikua Mtambo wa Kidatu au kuna lingine?
Kipindi kile cha jasiri alivyo tangulia, wakati wazazi wake wakiongea walidai alikuwa tayari kishatolewa barua na jasiri. Juzi tu hapa kama siokesei alikuwa na event yao ya kifamilia, mama na dada yake wakati wakihojiwa wakadai bado mdogo hatakiwi kukimbilia ndoa.Huyo mama hajielewi anajali hela kuliko utu wa mwanawe
Analinda pesa za mwanaeMama anashindana na wanawake wa mwanawe ka wake wenzA
Ila wapare kawaida Yao alaf washenz wachawiUbahili hadi wa msosi wako bana
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Leo chai nmekunywaHivi leo umepata muda wa kula kweli, au nikuletee hapo hapo unapochart dinner?[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana kila nikikapua nakuona sasa ngoja nikuletee hapo hapo [emoji3][emoji3][emoji3], ili mradi umeniruhusu ,uzi huu nadonoa tu ha ha ha ha.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Leo chai nmekunywa
Saa Saba na huku nliko barid Kama lote
Watu wanaamka nayo saa moja[emoji1][emoji1]
Kuhusu lunch nmetiliza mpaka dinner
Ndo nakusubiria ulete[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hii cm leo imetumika mbaya
Data iko on tangu 6:30am
Mpaka sasa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana kila nikikapua nakuona sasa ngoja nikuletee hapo hapo [emoji3][emoji3][emoji3], ili mradi umeniruhusu ,uzi huu nadonoa tu ha ha ha ha.
Haa haa ha kwahiyo na mie nimekuwa mmoja wa chakula niletacho? Nafikisha nakugeuza karibia nafika[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]
Utakua umefanya vizur
Umenikoa kuanza kuingia jikon
Cjui ulete ukileta kabisaaaaa
Na ubakiii[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Leo mm ndo nmekua humu kwakweli
Huku n kukosa kazi yakufanya yani
[emoji2][emoji2]
Kugeuza huko kwio hata bilaHaa haa ha kwahiyo na mie nimekuwa mmoja wa chakula niletacho? Nafikisha nakugeuza karibia nafika
Nenga kamganda yule mtoto.kamwambia huwez kuwa umeniunga kwenye grid ya taifa halaf uniache kisela hiv hiv..ntautangazia umma..hahah..mpare kaona bora aawe mpole tuKipindi kile cha jasiri alivyo tangulia, wakati wazazi wake wakiongea walidai alikuwa tayari kishatolewa barua na jasiri. Juzi tu hapa kama siokesei alikuwa na event yao ya kifamilia, mama na dada yake wakati wakihojiwa wakadai bado mdogo hatakiwi kukimbilia ndoa.
Ndio jua pesa ilivyo na nguvu,yaani pale ndugu yangu wa Tag ubavu atafute chaka jingine pale hapamfai.
Ila wamama wa siku hizi wengi wao akili zao hazitofautiani na mabinti zao kwenye pesa, utakuta mama au dada yake anasema ".......mwanaume hasiye na hela husituletee......".
Ndio maana Wanyabi siku hizi ukiwaletea pigo hizo, wanampa mimba ya kwanza, halafu anawasikilizia akiona bado mnakaza,anapiga mimba ya pili, baadae kinyonge unafuatwa na wakwe ".....hivi mwanetu utamuoa lini.......we muoe mahali utatulipa baadae........" na unapangiwa mahali ya kawaida kabisa ya mwanachi wa kawaida.
Msoproperty ni yupi tena uyu?Huyo cheni yake ni balaa..ndoman yule msomali alizimia siku ya mazishi
Kama Nandy tu daaah haya majamaa maxenge sanaIla wapare kawaida Yao alaf washenz wachawi
Wale balaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ili nikupe muda wakuleta ubuyu kwenye huu uzi haa ha haKugeuza huko kwio hata bila
Cjakusalimia [emoji2][emoji2][emoji2]
Hapana kwakweli karbu Sana
Na mm Leo Nile cha ugenini
Hivi kwa hiyo bado anaendelea au ndo aliweka akiba..sio kwa baecation zile kwa biashara ya kitimoto na vipodozi tu [emoji848]My dear wakishapataga visent vyao vya haramu wakifungua vimiradi aisee wote mtaonekana hamjui kupambana nakwambia! Yaani tutaandikiwa ma list ya motiveshen speech ndio utajua hujui.
WeeeJokate ana Bonge la Shule Arusha (Eneo la Maji ya Chai)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mjin Kwa sasa hata Choo cha bure
Hakuna lazma utalipia hata Kwa 50
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]