Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hii alitisha sana wanangu wa UDSM hebu semeni neno jamani inawezekana kweli ukanunua Spacio ya 12m kwa hela ya boom na mkopo asilimia 100%?
Yani hapa aliua Sana akakaziwa
Akasema boyfriend alimuongezea
[emoji2][emoji2][emoji2]
Waschana hawa dhaaaa
 
mfano kile kimelea cha mwaka 80 kikitupwa ghafla kwa mmbongo movie mmoja leo tu tutawazika kama kuku! Maana kilikuwa kinaondoka na batch kila baada ya miezi mitatu [emoji28][emoji28][emoji28]
We unadhani hiko kimelea hakipo .
Watu wanajua Hadi file number za baadhi yao Kyle ile hospital iliyoko mwananyamaza wakienda pokea karanga
 
Sijawahigi kumwona nimemwonaga mamake ni mzuri kuliko Irene mwenyewe
Huyu hapa
images (2).jpeg
 
Nenga kapost 40 ya mtoto yeye na
Dada anaesemekana n mkewe
Huu ubuyu cjui umekaaje

Na mpare anasema hawajaachana
 
Hahahahah kumbe muuza kitimoto wa “Mapumziko Park” nae ni muuza ngano tu pia [emoji23][emoji23][emoji23] yani kwa maisha yapi yale mara wako “Bali” mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?
Ile nyumba ya ofisi za wasaf tv na redio naskia ni yake kawapangisha wasafi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom