Hii alitisha sana wanangu wa UDSM hebu semeni neno jamani inawezekana kweli ukanunua Spacio ya 12m kwa hela ya boom na mkopo asilimia 100%?Na ameshaupata Yan yeye alipata
Boom la [emoji817] chuo na akanunua gar
Kwakuongeza savings at[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kumbe ni ka Maraya Carey hako kabinti🤣 dah ni balaaHuyo nanaa ni malaya tangu akiwa secondary kwao huko manyara na anatafta ustaa kinguvu
Yani hapa aliua Sana akakaziwaHii alitisha sana wanangu wa UDSM hebu semeni neno jamani inawezekana kweli ukanunua Spacio ya 12m kwa hela ya boom na mkopo asilimia 100%?
Tukae Kwa kutuliaAcha kabisaa yetu macho!
Wanajisahau Kama hawajawahHeheheheh kaka na dada sio
We unadhani hiko kimelea hakipo .mfano kile kimelea cha mwaka 80 kikitupwa ghafla kwa mmbongo movie mmoja leo tu tutawazika kama kuku! Maana kilikuwa kinaondoka na batch kila baada ya miezi mitatu [emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa dizaini mshamba fulani hiviYule mwamba nae vipi anatumia miti miti kwenye biashara zake?
Hahahaha[emoji1787]Atakuwa alimsapoti jiwe [emoji28][emoji28][emoji28] maana humu ukionekana humuelewi yule Gaidi unapigwa Ban
HahahahaHahahahah Sangatiti Doctrines [emoji28] wajukuu wa Mkwawa
Huyu hapaSijawahigi kumwona nimemwonaga mamake ni mzuri kuliko Irene mwenyewe
Hahahahahah cha sahizi kimepoozwa ukaliWe unadhani hiko kimelea hakipo .
Watu wanajua Hadi file number za baadhi yao Kyle ile hospital iliyoko mwananyamaza wakienda pokea karanga
HeheheheheYani hapa aliua Sana akakaziwa
Akasema boyfriend alimuongezea
[emoji2][emoji2][emoji2]
Waschana hawa dhaaaa
Utakuwa mtoto wa juziSho betina ni nani jmn?
Huyo alikuwa mke mtarajiwa wa jasiri muongoza njia Kama hukua ujuiIvi na uyu dada wa bongo fleva mwenye matamasha yake hapa mjini mbona anasapoti kubwa sana kutoka mawinguni kiasi cha kumpiga za uso mchaga wa watu? Mawingu wana ulaji wa aina yao hapa
Mama wa peramiho@cariha nilegezee kidogo hapo kwa peramiho shooo
Huyu mbaba na heshima zake mwanawe sasa an empty set
Huyo jamaa mbona analika fresh tu yaani
code INBOX sielewi au ndio PM?!Huyo nanaa ni malaya tangu akiwa secondary kwao huko manyara na anatafta ustaa kinguvu
Ile nyumba ya ofisi za wasaf tv na redio naskia ni yake kawapangisha wasafiHahahahah kumbe muuza kitimoto wa “Mapumziko Park” nae ni muuza ngano tu pia [emoji23][emoji23][emoji23] yani kwa maisha yapi yale mara wako “Bali” mara Dubai mara Zenji ina maana vipodozi anauza yeye pekeake nchi nzima?