Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Tena Jide alinunua 2013 mwaka ambao imetoka tu![emoji23] in 0kms hakana bei sana hako kagari! Nafikiri kipindi kile lilikuwa 150m pamoja na kodi sahiz katakuwa kameshuka shuka bei
Sasahv ukikanunua kale ni ugonjwa wa moyo tu kila gereji utachepukia mjini. Bora hata harrier old model.
 
Codes IMEKUWA ngumu Sana hii arajey huyu DJ wa MSANII buchi? Wa unclean? Tuenmizigo ndo Nani?
 
Mtoto wa 92 yule eti bado mdogo[emoji15]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanin masta
Code zako unavyoumba sijui unatuma programming language gani

Mfano eti "Era-lighting mke spit out" ,rocks wa mwendokasi, hahahahahah siku ya Leo nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Code zako unavyoumba sijui unatuma programming language gani

Mfano eti "Era-lighting mke spit out" ,rocks wa mwendokasi, hahahahahah siku ya Leo nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio ni COBOL mzee mwenzangu
 
Arajei skamla tuenimizigo yenu halafu wapuuzi wanamlaa demu kwa Malaki hoteli bagaheart na kwa Wala urojo

Chain ni ndefu Sana kudadeki
S2keez bebi...analamba umeme tu. Halaf wanaa wanatindua bila huruma...kuna dogo mmojaa anaitwa heri muzik..mtoto mdogo akaendaga kuyavagaa kwa vadi..daaah.nkasema hiv hawa watoto waadogo wanamjua vadi kweli...
 
Kuna code zinatembea humu hadi kichwa kinauma..
Ha ha ha ha mwingine huyu hapa, sie mpaka university tumefika ndani ya wiki lakini code hizi kiboko tunafanya kukenua na kupita tu[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hiyo yake niuzie mimi atanifaa kwa matumizi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…