Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Tena Jide alinunua 2013 mwaka ambao imetoka tu![emoji23] in 0kms hakana bei sana hako kagari! Nafikiri kipindi kile lilikuwa 150m pamoja na kodi sahiz katakuwa kameshuka shuka bei
Sasahv ukikanunua kale ni ugonjwa wa moyo tu kila gereji utachepukia mjini. Bora hata harrier old model.
 
Kipindi kile cha jasiri alivyo tangulia, wakati wazazi wake wakiongea walidai alikuwa tayari kishatolewa barua na jasiri. Juzi tu hapa kama siokesei alikuwa na event yao ya kifamilia, mama na dada yake wakati wakihojiwa wakadai bado mdogo hatakiwi kukimbilia ndoa.

Ndio utajua pesa ilivyo na nguvu,yaani pale ndugu yangu wa Tag ubavu atafute chaka jingine pale hapamfai.

Ila wamama wa siku hizi wengi wao akili zao hazitofautiani na mabinti zao kwenye pesa, utakuta mama au dada yake anasema ".......mwanaume hasiye na hela husituletee......".

Ndio maana Wanyabi siku hizi ukiwaletea pigo hizo, wanampa mimba ya kwanza, halafu anawasikilizia akiona bado mnakaza,anapiga mimba ya pili, baadae kinyonge unafuatwa na wakwe ".....hivi mwanetu utamuoa lini.......we muoe mahali utatulipa baadae........" na unapangiwa mahali ya kawaida kabisa ya mwanachi wa kawaida.
Mtoto wa 92 yule eti bado mdogo[emoji15]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanin masta
Code zako unavyoumba sijui unatuma programming language gani

Mfano eti "Era-lighting mke spit out" ,rocks wa mwendokasi, hahahahahah siku ya Leo nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Code zako unavyoumba sijui unatuma programming language gani

Mfano eti "Era-lighting mke spit out" ,rocks wa mwendokasi, hahahahahah siku ya Leo nimecheka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio ni COBOL mzee mwenzangu
 
Arajei skamla tuenimizigo yenu halafu wapuuzi wanamlaa demu kwa Malaki hoteli bagaheart na kwa Wala urojo

Chain ni ndefu Sana kudadeki
S2keez bebi...analamba umeme tu. Halaf wanaa wanatindua bila huruma...kuna dogo mmojaa anaitwa heri muzik..mtoto mdogo akaendaga kuyavagaa kwa vadi..daaah.nkasema hiv hawa watoto waadogo wanamjua vadi kweli...
 
Kuna code zinatembea humu hadi kichwa kinauma..
Ha ha ha ha mwingine huyu hapa, sie mpaka university tumefika ndani ya wiki lakini code hizi kiboko tunafanya kukenua na kupita tu[emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ulikuepo vile yani alichokifanya
Kanipa number na mm number
Nkaunga trella[emoji23][emoji1][emoji1] na jina kabisa
Kanipa

Kumbe number aliyonipa n yake nyingine
Mm nafkir n best Ake kumbe n yeye
Yani nmechoka Hoi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Namtaka rafki ake sasa anajileta yeye
Jaman
Hiyo yake niuzie mimi atanifaa kwa matumizi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom