[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uko sahihi umaskini na njaa huchakaza Sana watu,mama dangote Sasa hivi kijana kabisaUmesahau mama dangote wa mjini ila alizeeka sana mapema na badae akaja kuwa kijana baada kuoga hela.
Ujinga mwingi na unafiki na hata wenye ndoa ndio malaya wakubwaHiii iko uku kwetu tz Hapo kenya jirani zetu baada ya 32 ndio umri wa mabinti kuanza kutafuta family ila huku sasa ufike 28 bado unaonekana vp sijui watu wabadilike mfumo wa maisha ya utafutaji kwa wanawake ndio umechangia vyote ivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv atafute mwanaume atulie, wanawake hawawezi. LolJamani semaji la dunia ndoa yake Chali, shida huwa ni mkorofi wa kupiga wanawake plus milupo ka yote na kutumia Hali yake na mdomo wake too much.@instagram reymage usser View attachment 1956000
Ubishi wangu upi? au labda kutofautiana na ww ni kosa, mimi naongea nilicho kiona na kukiishi.Mkuu wewe mbishi unalinganishaje dada wa mjini anayekaa kwa ac na yule wa kijini anayexalishwa daily, hafu hyo ya joketi sio issue sana kila binadamu anakua so kubagua mtu kisa age na kumlaumu not fair flani
Hahaaa atakuwa ana shida ajirekebishe yeye tu ndo huwa anakosewa na kuonea ila yeye hakwazi, na hao wanaume yupi atakuwa naye my dear jinsi ana mdomo hivo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv atafute mwanaume atulie, wanawake hawawezi. Lol
Sawa kukubali kutokukubalianaUbishi wangu upi? au labda kutofautiana na ww ni kosa, mimi naongea nilicho kiona na kukiishi.
Amina.Sawa kukubali kutokukubaliana
Kwa kumbukumbu semaji hii ndoa yake ya tatu chali.Jamani semaji la dunia ndoa yake Chali, shida huwa ni mkorofi wa kupiga wanawake plus milupo ka yote na kutumia Hali yake na mdomo wake too much.@instagram reymage usser View attachment 1956000
Hafu mbaya zaidi naskia anapiga wake na huu umaarufu ana michepuko tele, plus mdomo woooiKwa kumbukumbu semaji hii ndoa yake ya tatu chali.
Mimi kila siku nasema mwanaume mkaa kwenye mkeka, msikiliza taarabu na vipindi vya kina Dida hafai.
Lazima ndoa imshinde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu akutane na dulvan watawezana sana.Hahaaa atakuwa ana shida ajirekebishe yeye tu ndo huwa anakosewa na kuonea ila yeye hakwazi, na hao wanaume yupi atakuwa naye my dear jinsi ana mdomo hivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] iv umewaza nn lakini auntie?Kwa kumbukumbu semaji hii ndoa yake ya tatu chali.
Mimi kila siku nasema mwanaume mkaa kwenye mkeka, msikiliza taarabu na vipindi vya kina Dida hafai.
Lazima ndoa imshinde
Najaribu fungua code inagoma! Semaji la dunia lipi? Yule alikua Lion na Sasa yupo mtaa wa twiga na Jangwani??Hafu mbaya zaidi naskia anapiga wake na huu umaarufu ana michepuko tele, plus mdomo woooi
Huyo huyo kahamia jangwaniNajaribu fungua code inagoma! Semaji la dunia lipi? Yule alikua Lion na Sasa yupo mtaa wa twiga na Jangwani??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu akutane na dulvan watawezana sana.
Haji ana shida sanaa tena ni taabu kukaa nae yaani ni kipaji haswaa ana inferiority complex mnoo!sishangai ndoa hii nayo kufa!Jamani semaji la dunia ndoa yake Chali, shida huwa ni mkorofi wa kupiga wanawake plus milupo ka yote na kutumia Hali yake na mdomo wake too much.@instagram reymage usser View attachment 1956000
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]loohh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv atafute mwanaume atulie, wanawake hawawezi. Lol
Uko sahihii!kabisaa...yule bwana yataka moyo kukaa naye ni kipaji haswaa!ana mdomo na vile alivyo na umaarufu wake analeta hadi ndani yaani anaona kwa vile ni maarufu wanawake hawambabaishi!Kwa kumbukumbu semaji hii ndoa yake ya tatu chali.
Mimi kila siku nasema mwanaume mkaa kwenye mkeka, msikiliza taarabu na vipindi vya kina Dida hafai.
Lazima ndoa imshinde
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] nasema uongo kwan?[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]loohh!