Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hizi story za Bdozen ni uongo mtupu, I think is a high time Bdozen jitokeze ukanushe, maana zimepitiliza sasa, unapokaa kimya zinaonekana ni kweli, ni watu tu nachuki zao, why mseme Bdozen ndio analiwa na sio Majay ndio analiwa na Bdozen? Mtu anakomaa as if kuna ushahidi...ooh mara alimuacha demu wake saa nane akaingia kwenye apartment ya mwanaume mwingine? Hivi mnajua hata anakokaa Bdozen? Mtu anayeandika hizo story yuko Sumbawanga, anaandika as yeye ndio demu wake
kaka wewe ndiye b dozen au? Kwanini awaongelewi wengine ni wao tu hebu jaribu kutafakari.
 
Ni sawa tu hilo ni gumu kulitambua lakini point ya msingi wanatuhumiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja.
Vyoyyote iwavyo vidume viwili kujifungia chumbani uchi na kugusana miili haijalishi nani yuko juu au chini wote ni wamoja.
 
Vyoyyote iwavyo vidume viwili kujifungia chumbani uchi na kugusana miili haijalishi nani yuko juu au chini wote ni wamoja.
kabisa mkuu wote ni wamoja. Na jamaa anamtetea huyu kijana pengine ana kitu anakijua.
 
ukimpata mume wa dizain hiyo wakati unamdekea kama mume na yeye huko kuna waume zake anawadekea kama unavyomdekea

na machoko yanavojua kudeka siku ukimfuma hutoamini, utadai wamtoe huyo mwanamke waliomficha, kumbe jitu lishaliwa. Unaweza zani una mume kumbe naye ni mwanamke mwenzako tu, hatari sana aise!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.
 
Hivyo hivyo halafu hawajuagi mke akikinaiwa na ndoa ujue ndiyo mwisho wake umefika, wanawake huvumilia mengi sana yakizidi kupita kiwango basi hakuna cha mshauri wala nani
Watajua wenyewe bhana. Sasa km hakuna cha mshauri si atoke tu bhana?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom