Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
kaka wewe ndiye b dozen au? Kwanini awaongelewi wengine ni wao tu hebu jaribu kutafakari.
 
Ni sawa tu hilo ni gumu kulitambua lakini point ya msingi wanatuhumiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja.
Vyoyyote iwavyo vidume viwili kujifungia chumbani uchi na kugusana miili haijalishi nani yuko juu au chini wote ni wamoja.
 
Vyoyyote iwavyo vidume viwili kujifungia chumbani uchi na kugusana miili haijalishi nani yuko juu au chini wote ni wamoja.
kabisa mkuu wote ni wamoja. Na jamaa anamtetea huyu kijana pengine ana kitu anakijua.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.
 
Hivyo hivyo halafu hawajuagi mke akikinaiwa na ndoa ujue ndiyo mwisho wake umefika, wanawake huvumilia mengi sana yakizidi kupita kiwango basi hakuna cha mshauri wala nani
Watajua wenyewe bhana. Sasa km hakuna cha mshauri si atoke tu bhana?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…