Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Manara hutumia ulemavu wake ka excuse ya kuzalilisha wengine, yeye akiguswa ndo anajua kuumia wengine hapana
 
 
Manara hutumia ulemavu wake ka excuse ya kuzalilisha wengine, yeye akiguswa ndo anajua kuumia wengine hapana
Exactly Yaani anapenda sana kutumia udhaifu wake, akiguswa lakini ni mkorofi mnooo!!!msumbufu haswaaa!!!na anakera sana baasi tu ila yeye ndo mkamilifu
 
Wadada wa bongo movie bureee kabisaaa!kuna huko kwa mpalange wao ni wewe staili gani wataka kwao sio kuombwa ni kawaida!
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa

Nchi Ile wanaweka kisingizio cha colabo
Yaaani na colabo yenyewe unaskia subir
Inamaliziwa miaka naenda rud[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dhaaaa

Nchi Ile wanaweka kisingizio cha colabo
Yaaani na colabo yenyewe unaskia subir
Inamaliziwa miaka naenda rud[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahaaaa!mpk yesu arudi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]umeona eeh wasanii njaa Kali hakunyimi ng'o
 
Exactly Yaani anapenda sana kutumia udhaifu wake albinism akiguswa lakini ni mkorofi mnooo!!!msumbufu haswaaa!!!na anakera sana baasi tu ila yeye ndo mkamilifu
Soon atapoteza relevance yake huyu.

Kuna na mwingine naye alikuwa mkorofi na ana mahasira huyo na mkorofi kisa hali yake huea najiuliza huko vichwani huwa kuna wadudu huwapanda na kuwaumiza wengine makusudi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…