Wema ndo imetokaa hiyo bye byee[emoji3][emoji16][emoji16]nacheka kama mazuri !!;eti mbwa mzazi...wanafanya surgery mbona!Uwoya mtazameni vzr picha za nyuma na sasa tofauti kabisaaa!
Ila wema kawa kitukooo!!!!harudiii tena
Aliharibu alivyo ji “anaconda”Wema mbususu imedoda sijui nani ataitaka tena
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Hahaha
[emoji23][emoji23][emoji23] umeona eeehLeo humu zitapigwa spana wacha nikae kitako[emoji28][emoji28][emoji28]
Lakini MANONO yupo mkuuAliharibu alivyo ji “anaconda”
WachaaaaWema anajuta kukata utumbo alidhani kukata utumbo simba atamrudia kumbe ndo kajimalizaa...mondi hana ht mdaa!halafu ujue Uwoya kaenda ongeza lips?!! Na kingine kafanya surgery sura kaivutaa...
Mwenzenu mbeaaaa...chaaaa!ntasutwaaaaaaaaaaa!!!
[emoji23][emoji23]eti anaji anaconda sikuhizi wazungu wenyewe wanaongeza makalio sikuhizi English figure zimepitwa na wakati aiseeAliharibu alivyo ji “anaconda”
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nambie mpenzi!!!nipoo sasa hivi nna shosti huyooo chawa balaa ananipa maumbea yooote!hapa nasubiri tukikutana tu!!!nipate mpyaaa mpyaa!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we mtoto mtu mbadi sana asee
Mama wa maudakuu
Hahaaa Best hufai kuwa mumbeya wewe sasa mbona rahisi hvoWapendwa nimesoma comments hadi hapa ila hizi code mbona ngumu kuliko maisha yangu umbea ni nafasi tafadhali fungueni
Nilijua tu wikiendi hyoooo!!!halafu nimekumbuka mmemtaja Tessy chocolate daahh!nilitajiwa sponsa wake nimemsaha!looooh!!whyyyy??!![emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]Asee jana shemeji yako kanichimbia chimbo fulani tukawa tunagida ulabuu...kichwa kikapata moto jf nikaishut down
Watoto wa mjini tunawajua nyie!mwendo wa maji ya gold tuuu....mpk kielewekee!!!!!hahahahhah!maisha mafupiii enjoiiiiiiii!!!!!!We noma kama ulikuwepo vile...full kugida maji ya mende mpaka yanikome
Jana ilikuwa balaa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji16]
Haki vile hadi kichwa kimepata moto toka mchana kila nikifungua code haifunguki bestHahaaa Best hufai kuwa mumbeya wewe sasa mbona rahisi hvo
Hana maajabu dadaa!hivi wajua it was serious ishu ya pango ndo akaanza kufanya matangazo!Anakwambia " kuk with Wema sepetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Hivi Tessy analiwa na mkubwa gani? Mrembo sanaHana maajabu dadaa!hivi wajua it was serious ishu ya pango ndo akaanza kufanya matangazo!
Wema kampani zinamharibu umbea huu inabidi ntoe nusu nusu kwanza..
Dahh!nafsi inauma kulisahau danga la Tessy miye mwee!!
Woiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!nshalikumbukaaa...
Yarrabi tobaaaaaa!!!nna raja ajabu!
Pole shoo kwani in-box ya JF inaitwaje then ukinyoosha unajua kuwa ni Mr katelephone in Swahili utajuaHaki vile hadi kichwa kimepata moto toka mchana kila nikifungua code haifunguki best
Wadada wa mjini hovyoo sanaa Yaani hawajui mtoto anachukua sura mbili[emoji23][emoji23]vera hana sura nzuri kivile licha ya kujitutumia had kujichubua lakini wapi, sasa katafta kibeten ili kimpatie cute baby na mimi namuombea awe cute tu maana anahangaika sana
Hivi Hilo danga la tessy alilomuibia uwoya bado lipo?Hana maajabu dadaa!hivi wajua it was serious ishu ya pango ndo akaanza kufanya matangazo!
Wema kampani zinamharibu umbea huu inabidi ntoe nusu nusu kwanza..
Dahh!nafsi inauma kulisahau danga la Tessy miye mwee!!
Woiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!nshalikumbukaaa...
Yarrabi tobaaaaaa!!!nna raja ajabu!
Hana kitu yule kabaki mjiti tu Hata tusupu hanaLakini MANONO yupo mkuu
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hebu kua serious ina maana wewe hata ramani ya Tanzania huijui?wilaya zetu na viongozo huwajui?!!!Changamsha kichwa bwanaa!!!Wapendwa nimesoma comments hadi hapa ila hizi code mbona ngumu kuliko maisha yangu umbea ni nafasi tafadhali fungueni