Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hahaaa wamesahau tu kuhusu biology hawa viumbe
 
Tutakushushia tofali zito kichwani wewe sasa! (Private Massage) Chukua hizo herufi kubwa za mwanzo then,unganisha,soma hiyooooooooo!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Shoooo!yule mbona kitamboo kashasepaaaa....akaja danga jingine mkewe akaenda kufanya vurugu saluni paleee akavunja vitu vyote vya Tessy Bible alihongwa...!huyu mwingine!
Sasa hivi ana danga lingine maana nimeona amejitahidi na biashara sasa hivi za vipodoz kuliko huyo mla bata wa dubei asiye jua kesho
 
Hahaaa wamesahau tu kuhusu biology hawa viumbe
Wanaume wa kawaida tunafyatua vitu hatari.
Nina binti yangu mrembo nikianza kuwaza kuhusu hii dunia naishia kunyanyua mikono juu. Daah
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…