reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Sio kigogo ngoja nitafute code ili mchangamshe vichwa!!!!Hivi Tessy analiwa na mkubwa gani? Mrembo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kigogo ngoja nitafute code ili mchangamshe vichwa!!!!Hivi Tessy analiwa na mkubwa gani? Mrembo sana
Mzigo ndio kila kitu jamani😅[emoji23][emoji23]eti anaji anaconda sikuhizi wazungu wenyewe wanaongeza makalio sikuhizi English figure zimepitwa na wakati aisee
Daah ana macho mazuri hatariSio kigogo ngoja nitafute code ili mchangamshe vichwa!!!!
Manunu ndio Danga auLakini MANONO yupo mkuu
Shoooo!yule mbona kitamboo kashasepaaaa....akaja danga jingine mkewe akaenda kufanya vurugu saluni paleee akavunja vitu vyote vya Tessy Bible alihongwa...!huyu mwingine!Hivi Hilo danga la tessy alilomuibia uwoya bado lipo?
Na ngozi nzuri balaaaa yule Dada mzuri haswaaa hana makuu mashallah!!!kazuri kale hata liveDaah ana macho mazuri hatari
Hahaaa wamesahau tu kuhusu biology hawa viumbeWadada wa mjini hovyoo sanaa Yaani hawajui mtoto anachukua sura mbili
Kuna Miss world anaitwa aishwarya rai(unaambiwaa according to miss world committee ndo miss mwenyee vigezo vyote kuwahi kutokea duniani)anatoka India,sasa kaolewa na abhishek bachan nae handsome balaaaa..[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wana katoto kao kanaitwa aaradhya ka kawaida mnooo!!Yaani Hata lips za mama ake hajabeba!
Waache wakariri tuuu!watakuja kutafuta mchawi wamkose Mungu fundiii!
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli eehMzigo ndio kila kitu jamani[emoji28]
Jitahidi uwe nao[emoji23][emoji23][emoji23] kweli eeh
Asilogwe nikamnasaNa ngozi nzuri balaaaa yule Dada mzuri haswaaa hana makuu mashallah!!!kazuri kale hata live
Ndio maana tunaoa madem wa kawaidaMaslay queen wengi akili za maisha hawana hawafikiri kesho, wanazani kila siku wata endelea kuwa wazuri.
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Tutakushushia tofali zito kichwani wewe sasa! (Private Massage) Chukua hizo herufi kubwa za mwanzo then,unganisha,soma hiyooooooooo!!!
Sasa hivi ana danga lingine maana nimeona amejitahidi na biashara sasa hivi za vipodoz kuliko huyo mla bata wa dubei asiye jua keshoShoooo!yule mbona kitamboo kashasepaaaa....akaja danga jingine mkewe akaenda kufanya vurugu saluni paleee akavunja vitu vyote vya Tessy Bible alihongwa...!huyu mwingine!
Mbwa wakeManunu ndio Danga au
Hahaaa wamesahau tu kuhusu biology hawa viumbe
Wanaume wa kawaida tunafyatua vitu hatari.Wadada wa mjini hovyoo sanaa Yaani hawajui mtoto anachukua sura mbili
Kuna Miss world anaitwa aishwarya rai(unaambiwaa according to miss world committee ndo miss mwenyee vigezo vyote kuwahi kutokea duniani)anatoka India,sasa kaolewa na abhishek bachan nae handsome balaaaa..[emoji52][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wana katoto kao kanaitwa aaradhya ka kawaida mnooo!!Yaani Hata lips za mama ake hajabeba!
Waache wakariri tuuu!watakuja kutafuta mchawi wamkose Mungu fundiii!
Sioni umuhimu ingawa mtu akivaa nguo hupendezaJitahidi uwe nao
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]DC alianza na Mzee Machache,sasa unadhani hana?? Anakula mashudu kama kawaida! DC na urembo wote ule,haolewi, wala hazai!
Sasa DC hajawamwagia kweli wasanii wetu, Domo na Ndombolo! Plus yule jamaa mrefu na mwenye sauti kubwa kama anameza kaa la moto
Sijui kwanini wanaume wasio ma hechibii huzaa vitu vizuri tofauti na walamba lipsWanaume wa kawaida tunafyatua vitu hatari.
Nina binti yangu mrembo nikianza kuwaza kuhusu hii dunia naishia kunyanyua mikono juu. Daah
Hahahahahha!ukila vya watu kubali kuliwa kaka tulia tuu!!utafurahi mbonaaMbwa wake
Wanaume wa kawaida tunafyatua vitu hatari.
Nina binti yangu mrembo nikianza kuwaza kuhusu hii dunia naishia kunyanyua mikono juu. Daah
Vaa hata kigodoro😅Sioni umuhimu ingawa mtu akivaa nguo hupendeza