Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hivi unaogopa nini kutaja , this is jf mrembo hee
 
Hatari sana sley kwini aliefulia ghafla kama baridi ilivyoiacha Dar
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!

Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
 
Wema anakaa chamazi nini 😅😅😅
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!

Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
Mobeto ni damu kunguni tu, anafurukuta lakini hatafika hata nusu ya wema
 
Umiza kichwa Kwanzaa...uzuri wa codes tunafichua mambo mengi mengi bwanaa!ukitaja straigh mengine hayafichuki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!
Unaanza kunikera[emoji16]
 
Mobeto ni damu kunguni tu, anafurukuta lakini hatafika hata nusu ya wema
Kwa sisi huku Wema alikua ndo hvyo lakini wenyewe wadada wa mjini wanakuambia kwa sasa ndo yuko juu anakimbizwa na Paula kwenye list ya sokooo na kile kimwili weeeeee!!!!!
Kwanza ile the shaderoom ya US kumpost imemboost sana missa....!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…