Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yule alioa dada wa mjini halafu akamfumania ndani kwake ndoa yao hata Xmass mbili hainaa!!mdada anauza vipodozi yeye mwenyewe USO wake una mapele kama wanguu!![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]!!!!!Kaka handsome balaaaa!!!!Hapana sio mmiliki wa triple 7
Hivi unaogopa nini kutaja , this is jf mrembo hee
 
Hatari sana sley kwini aliefulia ghafla kama baridi ilivyoiacha Dar
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!

Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
 
[emoji3][emoji3][emoji3]usinambie humjuii!au hukua mjini kipindi hiko au ulikua bado shule wasoma!CK jamani alivotesa na Wema mpk anakodiwa private jet anaenda kula bats Arusha....Wema anamtia vibao meneja wa hotel hadharani...!!Wema mpk akaanza kuitwa madame!!!Weee hapana chezea CK kwa wema
Nyumba ya 270mils,kumbe kapangaa!!!hapana wema amekula nchi jamani[emoji3][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji16]hatasahau yaani wema Leo wa kukaaa mbagala kuu huko ndani ndani![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!
Wema anakaa chamazi nini 😅😅😅
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!

Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
Mobeto ni damu kunguni tu, anafurukuta lakini hatafika hata nusu ya wema
 
Umiza kichwa Kwanzaa...uzuri wa codes tunafichua mambo mengi mengi bwanaa!ukitaja straigh mengine hayafichuki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!
Unaanza kunikera[emoji16]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom