Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Duh kama nampata hafu dish linakata signal
 
Codes za wambea wa jf jmn, shangazi wa bongo movie??
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]halafu naskia kazaa nae!mshenzi kweli mwenezi!!!viti maalum alishinda ila nafasi hakupata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kubaabaaaake[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!

Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
Dah hafu mobeto kawezaje kuwapotezea kina diamond naona wamechukia kweli huwa wanapenda mtu wakuwanyenyekea sasa mobeto ana paa mbali huko hata mtoto Dylan waliona kigugumizi kumu wish birthday
 
Hahahhh!hakai chamazi anakaa mbagala kuu then anadanganya anakaa kigamboni![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!Yaani wenzake wanamcheka balaaaa!!!wanadai kafulia ndo maana kahamia mbagala!kupunguza ruti za kuja mjini kula bata
Halafu mashosti na mashoga wamemkimbia ka hawamjui
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…