Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mzee baba kumbe nae si haba! Anamwaga moto kinyele kinyele 😅Huyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee baba kumbe nae si haba! Anamwaga moto kinyele kinyele 😅Huyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
Nooopp!wale wadada wa mjini wauza vipodozi acha huyu anajiita director... Ana shoga ake akina Wema wanamuita dada....!!!mpk alifumaniwaga na kigogo wa Simba bagamoyoo!!!ushamjua?!!twende polepoleBumbuli?[emoji849]
Shangaa na wewe mkuu code kama hizi utaweza kufungua kweli labla uwe mbea sugu nimeamua kusoma commets bila kuelewa mhusika😀😀😀Codes za wambea wa jf jmn, shangazi wa bongo movie??
Duh kama nampata hafu dish linakata signalYule alioa dada wa mjini halafu akamfumania ndani kwake ndoa yao hata Xmass mbili hainaa!!mdada anauza vipodozi yeye mwenyewe USO wake una mapele kama wanguu!![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]!!!!!Kaka handsome balaaaa!!!!Hapana sio mmiliki wa triple 7
Hee walikuwa wanasuguana mitako?Anaishi wapi sasa hivi
Maana pale alikuwa analipiwa na zero brain mitako
Sio yeye huyooo!!!Rose Garden zamani sijawai hata kunukuu jina lake miaka 25 sasa
Mimi nakupa mji uende dubei ukakutane na uwoyaHahahahahaha!!haya nshadadavua sasaa!nipeni mji mkishindwa au muiteni@warumi aje kufafanua
Mbona anajulikana!!Shangaa na wewe mkuu code kama hizi utaweza kufungua kweli labla uwe mbea sugu nimeamua kusoma commets bila kuelewa mhusika[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Mtoto ana Megawatts 2000 za Hydroelectric Grid [emoji28] ila lijamaa linaloweka mzuti tu
Ile irregular shape mjomba unaweza sokota ukuni masaa wakaburu hawachomoki😅Tunawekeza ili tupate return, ukiona hakuna future unatimua mbio
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]halafu naskia kazaa nae!mshenzi kweli mwenezi!!!viti maalum alishinda ila nafasi hakupata [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Codes za wambea wa jf jmn, shangazi wa bongo movie??
Halafu atatokea mtu aongelee michongo ya malikia wa nguvu wakati kuna vigogo wanamwaga viswaufu kuboost mitaji😅Huyo katelephone Hadi kwa shishi beibe kashapita naye huyo in short sio uwoya tu hata bongo movie wengine
😂😂😂😂😂Mtoto wa uswahili huyo atakuwa anajituma kama anasaka medali olimpiki
Kubaabaaaake[emoji16][emoji16][emoji16]Balaaaa!!!mtoto wa mbagala!price breaker naskia alikua ameenda ile kuchapa ilale akajikuta amezama mazima....kila akitoka anazidi kuzama...heeee!duka Mara kuvaa sare,jamaa akatia mimba kabisaaa...mobeto akaskuti yangu yepii!akachomoaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!akawa mama wa marehemu!!!haaamini kama kaachwa!
Mpk akajiingiza kwenye kupika na kufundisha watu kupika juuu...!!tena mmewe thread yake ishaletwaga humu ya utapeli sijui ,ngada!!!sasa huyo Mme wa huyo dada ndo danga la Tessy kwa sasa!Duh kama nampata hafu dish linakata signal
Dah hafu mobeto kawezaje kuwapotezea kina diamond naona wamechukia kweli huwa wanapenda mtu wakuwanyenyekea sasa mobeto ana paa mbali huko hata mtoto Dylan waliona kigugumizi kumu wish birthday[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]baridi ilivotuacha nimewaza ujue hii baridi!!![emoji3][emoji3][emoji3]wema hana maajabu tenaa!
Kwa sasa mobeto ndo hot in town Yaani!wenyewe wanasarenda...vunja being mwenyewe hana hamu
Halafu mashosti na mashoga wamemkimbia ka hawamjuiHahahhh!hakai chamazi anakaa mbagala kuu then anadanganya anakaa kigamboni![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!Yaani wenzake wanamcheka balaaaa!!!wanadai kafulia ndo maana kahamia mbagala!kupunguza ruti za kuja mjini kula bata
Washeeenzi wale wanajifanyaga tu oohh!nilianza na sahani moja nna mihagawa 7 !nawamindig sanaa!we wenzao tunashustle huku hatufikii hizp level!Halafu atatokea mtu aongelee michongo ya malikia wa nguvu wakati kuna vigogo wanamwaga viswaufu kuboost mitaji[emoji28]
Ukiona hivyo wewe mtakatifu sana![emoji3][emoji3][emoji6]dada nenda jukwaa la siasa na uchumi huku utaumiza kichwa!Jamaniii mwenzenu nimeshindwa hakuna hata code moja nimeweza fungua mwe mwe mpaka akina Extrovert wanafungua code mimi ke siwezi si dharau hizi