Hahaaa hamisa alimubebea na mimba ikawa kubwa bwana icebreaker ndio akamfungulia na duka baada ya hapo mobeto akatoa mzigo na ice breaker akahamia kwa DC kwa hasiraNdeeeefu na duka juuu!mobeto kids corner.....!!!!chezea mtoto wa mbagala kutokea tandika secondary akaachwa chaliiii!!Ulimi njeee!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!tupaa kuleeee
Kiranja mkuu...p..mShangaa na wewe mkuu code kama hizi utaweza kufungua kweli labla uwe mbea sugu nimeamua kusoma commets bila kuelewa mhusika[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahah kule ni mwendo wa mbokili na motema 😅 kama una mke msanii una hasaraKwenye makambi haya wanayo kaaga kwa ajili ya kuandaa movie au filamu wanapigana miti sana.
Ukitaka unifaidi baada ya tendo andika mahitaji yakooMi narekodi ili baadae usinikane ahadi zakooMtajiju
[emoji23][emoji23]eti hydroelectricMtoto ana Megawatts 2000 za Hydroelectric Grid [emoji28] ila lijamaa linaloweka mzuti tu
Yaani mpaka Wanaume wanafungua Code mimi nashindwa kweli😩😩😩Ukiona hivyo wewe mtakatifu sana![emoji3][emoji3][emoji6]dada nenda jukwaa la siasa na uchumi huku utaumiza kichwa!
Hahahahah hii inaitwa play ya cardz right😅 demu ni Mogul! Mi ni mkali ila hii ni Salute!!!Hahaaa hamisa alimubebea na mimba ikawa kubwa bwana icebreaker ndio akamfungulia na duka baada ya hapo mobeto akatoa mzigo na ice breaker akahamia kwa DC kwa hasira
Hafu Paula hajakuta umaarufu wa wema hata robo couple yenyewe imeanza kudodaKwa sisi huku Wema alikua ndo hvyo lakini wenyewe wadada wa mjini wanakuambia kwa sasa ndo yuko juu anakimbizwa na Paula kwenye list ya sokooo na kile kimwili weeeeee!!!!!
Kwanza ile the shaderoom ya US kumpost imemboost sana missa....!!!!
Njoo nikufungulie bibieYaani mpaka Wanaume wanafungua Code mimi nashindwa kweli[emoji30][emoji30][emoji30]
Missa wa motoooooo!na kile kishepu ndo balaa!haters wote wamesarenda wanatafutana kwa sasa...Missa ndo habari ya mjini!!wanakuambia kwa maslay kwini Hamisa kwa sasa wamemshindwaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]sio level zao!!!Halafu mashosti na mashoga wamemkimbia ka hawamjui
Dah hafu mobeto kawezaje kuwapotezea kina diamond naona wamechukia kweli huwa wanapenda mtu wakuwanyenyekea sasa mobeto ana paa mbali huko hata mtoto Dylan waliona kigugumizi kumu wish birthday
Hahahahahahah 😅😅😅😅😅Lakini hao mademu wenu wa mjini ilala, wanafata machine huku bunju kila siku.. 🙂🙂🙂
Ngoja aunganishwe na grid ya taifaPrice breaker ni Malaya mchafu ameingia jiji kwa pupa yuko na Dada DC wa barabara ya Kilwa kwa sasa!
Tatizo Nguzo 5 za kiislamu! Ukiingia Rome inabidi uwe MromaYaani mpaka Wanaume wanafungua Code mimi nashindwa kweli😩😩😩
Aah nshamjua sio huyu katoka kujifungua juzi kati hapo....ana michunusi balaaNooopp!wale wadada wa mjini wauza vipodozi acha huyu anajiita director... Ana shoga ake akina Wema wanamuita dada....!!!mpk alifumaniwaga na kigogo wa Simba bagamoyoo!!!ushamjua?!!twende polepole
Paula c ndo anaamka jaman hataHafu Paula hajakuta umaarufu wa wema hata robo couple yenyewe imeanza kudoda
Rudi kule siasani huku tuache siye siasa za bongo hatuwezii....!!!tunaogopa kuitwa magaidi!Yaani mpaka Wanaume wanafungua Code mimi nashindwa kweli[emoji30][emoji30][emoji30]
Ni huyo huyo km kuna mdau wanashirikiana sijui ila ni huyo mwenye hicho kibanda, akiwepo mwingine ni Fred L.Sio yeye huyooo!!!
Ni swala la muda tu maana vifungashio vya Msd kutumia mwisho ni siku 3 tu...kifuatacho ni acapella mpaka alfa na omegaNgoja aunganishwe na grid ya taifa
Kazaa naye kabisa na mtoto na alishinda ubunge ila alikatwa sijuiKawapa dudu mpka kawazalisha hao wauza nyama wa bongo movie walioungua,basi mwenezi anakula mbolea kupiga bongo movie peku ni ujasiri wa alshabaab