Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ndeeeefu na duka juuu!mobeto kids corner.....!!!!chezea mtoto wa mbagala kutokea tandika secondary akaachwa chaliiii!!Ulimi njeee!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!!tupaa kuleeee
Hahaaa hamisa alimubebea na mimba ikawa kubwa bwana icebreaker ndio akamfungulia na duka baada ya hapo mobeto akatoa mzigo na ice breaker akahamia kwa DC kwa hasira
 
Kwa sisi huku Wema alikua ndo hvyo lakini wenyewe wadada wa mjini wanakuambia kwa sasa ndo yuko juu anakimbizwa na Paula kwenye list ya sokooo na kile kimwili weeeeee!!!!!
Kwanza ile the shaderoom ya US kumpost imemboost sana missa....!!!!
Hafu Paula hajakuta umaarufu wa wema hata robo couple yenyewe imeanza kudoda
 
Wema hana maisha kwa sasa!!Petit anatamani kweli kumsaidia Wema ila ndo hvyo hawaongei
Halafu mashosti na mashoga wamemkimbia ka hawamjui
Missa wa motoooooo!na kile kishepu ndo balaa!haters wote wamesarenda wanatafutana kwa sasa...Missa ndo habari ya mjini!!wanakuambia kwa maslay kwini Hamisa kwa sasa wamemshindwaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji6]sio level zao!!!
Dah hafu mobeto kawezaje kuwapotezea kina diamond naona wamechukia kweli huwa wanapenda mtu wakuwanyenyekea sasa mobeto ana paa mbali huko hata mtoto Dylan waliona kigugumizi kumu wish birthday
 
Nooopp!wale wadada wa mjini wauza vipodozi acha huyu anajiita director... Ana shoga ake akina Wema wanamuita dada....!!!mpk alifumaniwaga na kigogo wa Simba bagamoyoo!!!ushamjua?!!twende polepole
Aah nshamjua sio huyu katoka kujifungua juzi kati hapo....ana michunusi balaa

Sasa mbona bwana ake ni marioo, yule jamaa ana hela kweli?[emoji848]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom