Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Wewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
 
Ewaaaa umepata kabisaaa!!!
Dada ake na basha la Aunt la zamani lililokuwa linambonda mpaka akamiscarriage
Watu wanapenda umbeya hatari Uzi una comments nyingi na ndio unao trend huu.
Huyo neema ndepanya kamzulumu nini nyumbu?
Karma naskia hajampa hata 100% na anamsainishaga mikataba ya kichif mangungoo!!kila kitu yeye mwenziwe hapati kitu!!upooo nyonyo?!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]mpk wale matwins ye ndo alikua anawalea!!!mshenzi yule dada mnooo!!!
 
Ajaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]

Asee

Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?

Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe hamna kitu[emoji848][emoji848]

Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]

Asee mwanaume sio wa kushindana nae
 
Huyo demu si alikuaga mlokole πŸ˜…
 
Wanaita kudanga kwa Weledi
Tena baada ya kuchambwa na Mange ndo akaanza kupata akili maana bi Sandra alipiga stooop asilipiwe pango kule bahari beach!ndo kuhama bibie plus vichambo kakaumbuka kujenga na kufanya maisha yake..

Mwanzo yeye alikua anashona ila badala atangaze kwake anamtangazie Elisha,na kyamirwa akachambwaa kua akuze brand yake ndo akaanza kushona kwake!Leo wambea na wadaku wamemsaidia mbona!
 
Nyie si mnaonaga K ni mtaji?
Kama una mume anakujali itulize papuch wanaume tuna visasi utajifia bure
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…