Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ewaaaa!!umepata 100%kunywa Savannah bill kwangu!Weee shosti ndo huyo huyooo!mshikaji ana mzigo balaaaa wa mbesaa tena alimhamishia nyuu housi...upoooo?!!!!!!bidada yule akaendekeza umalaya bwanaa!kaingiza kiben10 ndani kumbe nyuma ina CCTV analiwa Mme anaona mchezo woteee!
Talaka 3 si mke wangu...upooooo.!!!!!?!!!!!
Ingawa yule mshikaji mdogo lakini mpungo anao wa kuoa kikongwe kama yule alogoma kutulia wakati alistiriwa maskini..
Mwee kweli kunguru hafugikiiii!!!
Wewe mbea wa faida lkn hapa umeniacha, nakujia ee
 
Ewaaaa umepata kabisaaa!!!
Dada ake na basha la Aunt la zamani lililokuwa linambonda mpaka akamiscarriage
Watu wanapenda umbeya hatari Uzi una comments nyingi na ndio unao trend huu.
Huyo neema ndepanya kamzulumu nini nyumbu?
Karma naskia hajampa hata 100% na anamsainishaga mikataba ya kichif mangungoo!!kila kitu yeye mwenziwe hapati kitu!!upooo nyonyo?!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]mpk wale matwins ye ndo alikua anawalea!!!mshenzi yule dada mnooo!!!
 
Ewaaaa!!umepata 100%kunywa Savannah bill kwangu!Weee shosti ndo huyo huyooo!mshikaji ana mzigo balaaaa wa mbesaa tena alimhamishia nyuu housi...upoooo?!!!!!!bidada yule akaendekeza umalaya bwanaa!kaingiza kiben10 ndani kumbe nyuma ina CCTV analiwa Mme anaona mchezo woteee!
Talaka 3 si mke wangu...upooooo.!!!!!?!!!!!
Ingawa yule mshikaji mdogo lakini mpungo anao wa kuoa kikongwe kama yule alogoma kutulia wakati alistiriwa maskini..
Mwee kweli kunguru hafugikiiii!!!
Ajaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]

Asee

Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?

Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe hamna kitu[emoji848][emoji848]

Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]

Asee mwanaume sio wa kushindana nae
 
Bongo movie wana angalia uzuri, sura,makalio nk na kwa wanaume mashombe shombe, walamba lips kibao.Nilichoka siku moja na tizama mziki Maisha Magic Bongo nikaona trailer, mpaka Nicole Joyberry nae muigizaji 😀😀, yaani bongo movies siku hizi talents hawa angalii kabisa.
Huyo demu si alikuaga mlokole 😅
 
Wanaita kudanga kwa Weledi
Tena baada ya kuchambwa na Mange ndo akaanza kupata akili maana bi Sandra alipiga stooop asilipiwe pango kule bahari beach!ndo kuhama bibie plus vichambo kakaumbuka kujenga na kufanya maisha yake..

Mwanzo yeye alikua anashona ila badala atangaze kwake anamtangazie Elisha,na kyamirwa akachambwaa kua akuze brand yake ndo akaanza kushona kwake!Leo wambea na wadaku wamemsaidia mbona!
 
Ajaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]

Asee

Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?

Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe malaya malaya[emoji848][emoji848]

Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]

Asee mwanaume sio wa kushindana nae
Nyie si mnaonaga K ni mtaji?
Kama una mume anakujali itulize papuch wanaume tuna visasi utajifia bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom