Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Angetulia asitirike na yeye au kunguru hafugiki
 
Sasa nje alikuwa anatafuta nini daah[emoji134][emoji134]

Wanawake bana
 
Mnooo!kawalaaa mweeeehhh!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]....kisa kisa cha ugomvi wa Zama na Ray C ni hayati
Hayati nae alikuwa Topaz ya hatari πŸ˜… sema mipunga nayo ilikuwa ya kufa mtu!
 
Inaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake [emoji28][emoji28][emoji28] mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
Hahaaa na hyo tae kwondo sio ya nchi hii aisee, alitaka kumfanya mwenzake awe single mom watoto watu eti kwa kumvisha na pete na duka azaliwe mtoto wee dhubutu
 
Hahaaa price breaker naye akaamini mobeto atamzalia kweli ili amharibie biashara ya kudanga, Matokeo yake akaachiwa manyoya
Inaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake [emoji28][emoji28][emoji28] mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
The man was serious demu kazingua[emoji3][emoji16][emoji3]haaamini mpk Leo shheeeenzi kabisaaa!yaani km Bruce leee kamtia huuu...haaa!!kawaza time interval ya mimba na malezi kaona akuuuu...ngoja nidange pooh kwanza watoto nnao then wana bima kubwa kapiga chini
 
Hahahahah hivi Mrs. Nenga nae vipi ndio kwamba maji yalishamwagika ama wanaendelea na project zao za kiyunani [emoji28]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yule maji yalishamwagika alaf
Naona jamaa wa kupanda dau
Labda hawajafka

Maana nenga alikua anaonekana
Kama kina whoz Tu na wenzake
Hapo ndo naona Mrs hawez lea yy anataka
Kulelewa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…