Angetulia asitirike na yeye au kunguru hafugikiAjaaaajaaaaahaaajaaa[emoji848][emoji848][emoji16]
Asee
Yule jamaa ni handsome la kutupwa kumbe pia mpunga upo?
Asee huyo dada namuonaga kichwa kumbe malaya malaya[emoji848][emoji848]
Sasa katupwa na kichanga chake masikini[emoji22]
Asee mwanaume sio wa kushindana nae
Hahahaha mzee wa udevu akaona sio kweli akamtia masumbwi tu πKwanza kaliwa saaana na watu wa tip top connection huyuu!!hana lolote!
Yeye katumwa kaz na mamakeHajifunze ila yeye hana akili kavamia jiji kwa pupa
Hii katelefone ni simu au yaani kwa kiswahili fasaha una maanisha nini sorryHuyo ni kigogo wa serikalini bana weeπ geuza katelefone kuwa lugha ya taifa utaelewa!
Sasa nje alikuwa anatafuta nini daah[emoji134][emoji134]Yaani yule dada wenziwe kwanza
Walikua wanamuonea choyo alivoolewa na kaka handsome na anajiweza
Pili alikua anapendwa mama kila kitu anapewa na watoto wake wanahudumiwa na baba wa watu
Unaolewa unaenda ishi kwenye lijumba la kifahari vileee
Sasa wanafurahia balaa wanamcheeekaaa wanasema akome umalaya kizee kile[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]!!!!
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]hapa codes tuuu!!!mwendo mdundoo!hujui codes!!subiri extrovet akijua alipueKwenye hiyo code mtaachwa wengi maana kumjua huyo inahitaji intelligence ya kufa mtu[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Si utoboe na wewe?[emoji16]
NishampataAseee kasema sio huyo ...ni bwana ake mama wa vipodozi ila yeye ni ana michunusi balaa[emoji16][emoji16][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] alikuwa hacheck na mtuNdio maana hayati mkurugenzi mtendaji pale mawingu alikuwa anawapelekea moto tu na kuwasainisha THT
Hivi uko serious kweli au unatania??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]Hii katelefone ni simu au yaani kwa kiswahili fasaha una maanisha nini sorry
Hahaaa!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwenziwe Roma atafight with his own situation ili mambo yaendeleeeUchebe alimpenda shishi Ila kifua cha
Kuvumilia kugongewa aliona ndo Hana
Ndo maana akaamua kumtolea uvivu
Mwanaume yoyote hawezi kuvumilia umalaya wa mwanamke hata awe hana kitu kichapo utapata tuUchebe alimpenda shishi Ila kifua cha
Kuvumilia kugongewa aliona ndo Hana
Ndo maana akaamua kumtolea uvivu
Hayati nae alikuwa Topaz ya hatari π sema mipunga nayo ilikuwa ya kufa mtu!Mnooo!kawalaaa mweeeehhh!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]....kisa kisa cha ugomvi wa Zama na Ray C ni hayati
Lakin alikua anapush mziki wake uskikeMama nenga yeye hakusajiliwa tanesco?
Hahaaa na hyo tae kwondo sio ya nchi hii aisee, alitaka kumfanya mwenzake awe single mom watoto watu eti kwa kumvisha na pete na duka azaliwe mtoto wee dhubutuInaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake [emoji28][emoji28][emoji28] mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
Naomba uje pm mamiii nikuulize kituπππHivi uko serious kweli au unatania??[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
Ka telephone= ka simu
Hahaaa price breaker naye akaamini mobeto atamzalia kweli ili amharibie biashara ya kudanga, Matokeo yake akaachiwa manyoya
The man was serious demu kazingua[emoji3][emoji16][emoji3]haaamini mpk Leo shheeeenzi kabisaaa!yaani km Bruce leee kamtia huuu...haaa!!kawaza time interval ya mimba na malezi kaona akuuuu...ngoja nidange pooh kwanza watoto nnao then wana bima kubwa kapiga chiniInaonekana price breaker na whozu walishauriana utumbo ila braza ikala kwake [emoji28][emoji28][emoji28] mapema sana!
Mobeto Style amempiga Tae Kwondo moja matata pricebreaker ikamtachi!
Kwa Roma kimenuka tenaHahaaa!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwenziwe Roma atafight with his own situation ili mambo yaendeleee
Niulize sweetie karibuNaomba uje pm mamiii nikuulize kitu[emoji3][emoji3][emoji3]
π π π π π π π mambo yaendelee vipi wakati gari ishawaka! Hapo mama ntilie kimbofa kashalianzisha ni mwendo wa shombo mpaka itabaki storyHahaaa!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwenziwe Roma atafight with his own situation ili mambo yaendeleee
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hahahahah hivi Mrs. Nenga nae vipi ndio kwamba maji yalishamwagika ama wanaendelea na project zao za kiyunani [emoji28]