Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ila zile V8 tamu sio mchezo, unaweza ukajikuta unakufuru tu na kuona wanyonge kama kundi la mbuzi zizini[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23]ukiwa kwenye viete in polepoles voice wanyonga lazima uwaone manyumbu na wajinga tu hamna namna
 
Eeh hapo ndipo jabali alikuwa anacheza kama pele[emoji28][emoji28][emoji28] ila kaacha kijiji nyuma! Vile vichwa 7 vya kilioni ni first eleven tu ila kuna Sub za kutosha!
[emoji3][emoji16][emoji16]Sub tenaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]acha kabisaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ukiwa kwenye viete in polepoles voice wanyonga lazima uwaone manyumbu na wajinga tu hamna namna
Hahahahahahha u made me laugh to the max 😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣😂😂
 
Wanyonge tunaonekana manyumbuzi tu huko
 
Sio ukiacha huyo kuna malaika msanii, huyo wife wa ambassador alimuuzi jabali kwa kuchepuka na Waziri mmoja, dada akakatwa na mwenzake akakosa cheo
[emoji849][emoji849][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]kumbee!!!!ndo maana katupwa kama jongoo na mti wakee!loo
Halafu yule alokuwaga wa wanyama pori alotemwa utawala ulopita akaingia kwenye beef na mo bahili...!!!baasi yule bwana nae mgonii balaa....!!!!
 
Bora mwenziwe yule kigogo wa Corona wa last year ambae kwa sasa kwenye wizara ya maticha huku na surname yake inafanana na maticha kaambulia ukigogo na maza kamuona bado anatesaaa!!!
Yule mjanja alijua kula na kipofu na hakuwahi hata kutumbuliwa na anaendelea vizuri huyo mwenzake akazaa na kuzaa juu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…