Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Huyo waziri wa nyumbus ndo aliharibia mwenzake kwa jabali, Matokeo kamponza mwenzake yuko benchi mpaka sasa hivi.
Na huyu Waziri nyumbus sasa katulia kile cheo chake kilikuwa kinampa access na totoz
 
Humfaham gigy mkuu,,
Gigy anakupa adi figo we unasema kwa mpalange,
Kwanza kashasema ye hana bikra ata moja akae nazo zitamsaidia nini
 
Huyo fala anakula hadi jf
 
Anapenda totoz hatariii, kuna mdada mmoja namjua alikuwa anatoka nae kpnd bado minister ila akili za demu zikawa za kinyumbu nyumbu tu
 
Dokta year hata msahau alivyomuharibia ulaji
 
Hana cha ustaz wowotee afu bado mshamba yuleee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…