Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yes, kuna yule mwenye chata ya kabila wakata viuno jirani na mkoa wako...unakatisha kwao unaporudi kula xmas
Dah hapa nimeelewa, so ana mu eating Nani [emoji23][emoji23][emoji23]umbeya utaniua haki
 
Kwakweli hata mm kuna mchaga mmoja
Alinikoleza Yule mtoto mpaka sasa
Cjapata mbadala wake kwakweli
 
🀣 🀣 Pambaffff wahed
 
Vijana wa St Anthony wanajiinua sana!🀣
 
Asee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…