yako inafinyia wapi mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]hakika Mungu akunyimi vyote na walianza Long time na huyo hayati ndo akampa hyo mi connection mikubwa then had mjengoni. Ujue watu wa sura personal huwa wamebarikiwa sana machine inayofinyia ndani kwa ndani huko lazima tu upagawe. But nowdays kapoa maskini anaomboleza
Hivi ujue ulituahidi code ya mkinga ukasema unachaj sm[emoji12][emoji12][emoji12]
Hahahahhaah!acheni baasiUsijali tupo wote spiritually[emoji3]
Yupo vizuri haswaa ananikumusha mafile ya enzi hizo
@reymage ameiva sana nimesarenda kwake[emoji28]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...none of the above!Hivi huyu ni Warumi au yule ticha?
Life is too short yaani siruhusu mambo magumu yaniumize miyeeMtoto mbea hatari
Anatuchangamsha lakn
Daaah!Peramiho si mme wake alishafariki,kuna Dr mmoja hivi piga sana pale,hadi kuhongwa mark x!
[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]duuhh!Dr. Anafaidi mpk kuhongwaa ahsante studiooHuu uzu nimeupenda sana! Watu wanatembea na code tu,unashangaa wana wanakusagia kunguni na wewe una comment kwenye Uzi huu huu! Ha ha ha ha!.
Hawa vigogo acheni tu,yule Mzee wa mia tisa ha kenda na yeye yumo kwenye mambo! Kuna kidada kipo Dodoma,pale hadi amekijengea house! Mzee wa kutoa macho kama kapigwa kabari na vibaka wa mwananyamala!
Peramiho si mme wake alishafariki,kuna Dr mmoja hivi piga sana pale,hadi kuhongwa mark x!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Daaah!
Hizi bahati wengine hazitujii..
Nikiipata Mimi hakika atanihonga ATM card nimeshinde nayo
[emoji38][emoji3][emoji1][emoji38][emoji38][emoji6]wadada hawatazami suraaa...wanaangalia salio kwa bank!Huyu mzee wa mia kenda naye kumbe ana penda sana huko down stairs eeh, na anajua kuhonga, sipati picha wakati wa tendo akigugumia utamu, Plus ile sauti na ile mijicho mikubwa hivi,
I wondered alipita na mama zurie hivi hivi
Wee!au unataka watu waongeee!!!yule alitulia alivokua na marehemu tu..enzi zake kaupiga mwingi Sana'a nje ndanii!!!!Nampongeza Yule msanii wa kibao cha wanawake na maendeleo kwan hajatajwa popote katika huu uzii kabisa mana yake
Ni sehem sahihi pale
HV tivu Ake kumbe dalali kweli?Asee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
Hahaha!bongo movies hawaa!warahisi kuliko kawaida mnooo!Asee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
Hivi wajua tunadanganya....!!!mbona hizo ndo Mishe zake mjini!!!HV tivu Ake kumbe dalali kweli?
Nishaanza mchombeza DM insta .. niombe aelekee kiblaSana tu ngoja apewe urithi aanze sasa kukisambazaa!
Wale watoto watata,hawezi wagusa,kwanza sijawahi ona hata wakimpost au akiwapost sehemu yoyote! Yule msukuma jamani,acheni tuAmesahaulika tu yuko anataka kunyang"Anya urithi wa watoto wa marehemu
[emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa mia kenda ila yuko vizuri[emoji38][emoji3][emoji1][emoji38][emoji38][emoji6]wadada hawatazami suraaa...wanaangalia salio kwa bank!
Ndio alitaka achukue vyote watoto wakamu wahi sasa hivi kabaki motivational speaker ig, ila mstaafu wa phase 4 alimujengea jengo na kumpa ubunge kwa sababu ya bintiye yuleWale watoto watata,hawezi wagusa,kwanza sijawahi ona hata wakimpost au akiwapost sehemu yoyote! Yule msukuma jamani,acheni tu
Alipita na Nani na Nani?Wewe! Huyo ni mbaya kama nini! Naweza kukupa list yake ukabaki mdomo wazi! Kakitembeza kweli kweli,hadi kufikia kuolewa na Marehemu Dr
Sema mstaafu wa msoga nae alijua kutotoa mamaeee, sekta zote alipitiaNdio alitaka achukue vyote watoto wakamu wahi sasa hivi kabaki motivational speaker ig, ila mstaafu wa phase 4 alimujengea jengo na kumpa ubunge kwa sababu ya bintiye yule