Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23]hakika Mungu akunyimi vyote na walianza Long time na huyo hayati ndo akampa hyo mi connection mikubwa then had mjengoni. Ujue watu wa sura personal huwa wamebarikiwa sana machine inayofinyia ndani kwa ndani huko lazima tu upagawe. But nowdays kapoa maskini anaomboleza
yako inafinyia wapi mkuu.
 
Yaani jamani hawa wazee wanahonga mwee!balaa sanaa!looh!ukiwaona kwenye nyumba za ibada wanavojinasibisha Nazo mpk we utajiona mdhaambi
Huu uzu nimeupenda sana! Watu wanatembea na code tu,unashangaa wana wanakusagia kunguni na wewe una comment kwenye Uzi huu huu! Ha ha ha ha!.

Hawa vigogo acheni tu,yule Mzee wa mia tisa ha kenda na yeye yumo kwenye mambo! Kuna kidada kipo Dodoma,pale hadi amekijengea house! Mzee wa kutoa macho kama kapigwa kabari na vibaka wa mwananyamala!
[emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]duuhh!Dr. Anafaidi mpk kuhongwaa ahsante studioo
Peramiho si mme wake alishafariki,kuna Dr mmoja hivi piga sana pale,hadi kuhongwa mark x!
 
Huyu mzee wa mia kenda naye kumbe ana penda sana huko down stairs eeh, na anajua kuhonga, sipati picha wakati wa tendo akigugumia utamu, Plus ile sauti na ile mijicho mikubwa hivi,
I wondered alipita na mama zurie hivi hivi
[emoji38][emoji3][emoji1][emoji38][emoji38][emoji6]wadada hawatazami suraaa...wanaangalia salio kwa bank!
 
Asee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
Hahaha!bongo movies hawaa!warahisi kuliko kawaida mnooo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom