Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Yaani maza ake alifanyiwa mishe akastaafu mapema kabla ya mda alivyopata tu ubunge... sijui ilikuwaje wakazinguana na jabali sema na bidada bado yupo vzuri na hivi mtoto mmoja wa msoga
 
Maduka yote yale ya nguo pale studio na kule sinza utakaa nje pale masaa hutoona mtu akiingia mpaka unajiuliza hawa wanalipaje kodi? Watu wengi wananuanua kariakoo huko,nani aende maduka ya sinza kiatu cha 55,000 utaambiwa 120,000.
Na hawataki muingie wengi wengi ivo ivo bei ni strategy,duka ni strategy,,
Sema wenye akili nyingi tunawachora tu
 
Duh ila alikuwa na ngekewa maana binti kafanana na phase 4 kama mayai. Hivi jabali kwanini alipenda kukomesha watu hivo loh
 
Asee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele
Dhuuuu ulibagen Kama maharage ya jumla
Mpaka ukasave kilo 4 zako zingeenda na maji
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…