Hellen Jr
JF-Expert Member
- May 10, 2018
- 302
- 639
Hajui km ni mdananda kwa hizo issue[emoji23]Hivi wajua tunadanganya....!!!mbona hizo ndo Mishe zake mjini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui km ni mdananda kwa hizo issue[emoji23]Hivi wajua tunadanganya....!!!mbona hizo ndo Mishe zake mjini!!!
Veeery cheap nashindwa kuwaelewa kabisaaHahaha!bongo movies hawaa!warahisi kuliko kawaida mnooo!
Usiache tu kwakeli[emoji3]Hahahahahaah!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani maza ake alifanyiwa mishe akastaafu mapema kabla ya mda alivyopata tu ubunge... sijui ilikuwaje wakazinguana na jabali sema na bidada bado yupo vzuri na hivi mtoto mmoja wa msogaPhase 4,alimpa kwanza ulaji pale Bank kubwa,then akaja mpa ubunge wa special seat,Jabali si alizinguana nalo vipi,likamtemesha kwanza umakamu mwenyekiti wa jumba kubwa linaloonhozwa na Kimbunga Jobo,ubunge kaukosa na mme kafariki,kabaki kua motivesheno sipika tu kama ulivyosema!
Nouma sanaYaani maza ake alifanyiwa mishe akastaafu mapema kabla ya mda alivyopata tu ubunge... sijui ilikuwaje wakazinguana na jabali sema na bidada bado yupo vzuri na hivi mtoto mmoja wa msoga
Ukute alitishwa na phase 4! Akaona mambo yakuwekwa segedansi kama kina Babu na mwanae ya nini matatizo!Hivi yule jamaa ilikuwaje akamkimbia au ndo alikimbia na michango[emoji51]
Huyo nae sijui yupo wapi ,nae alivuma kipindi cha nyuma,ila mimi nawaongelea wa mtaani huku.Unamuongea Lulu wa kimwana manywele nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa msoga alikuwa vizuri katumia urijali vizuri, shida alikuwa handsome sanaSema mstaafu wa msoga nae alijua kutotoa mamaeee, sekta zote alipitia
Na hawataki muingie wengi wengi ivo ivo bei ni strategy,duka ni strategy,,Maduka yote yale ya nguo pale studio na kule sinza utakaa nje pale masaa hutoona mtu akiingia mpaka unajiuliza hawa wanalipaje kodi? Watu wengi wananuanua kariakoo huko,nani aende maduka ya sinza kiatu cha 55,000 utaambiwa 120,000.
Duh ila alikuwa na ngekewa maana binti kafanana na phase 4 kama mayai. Hivi jabali kwanini alipenda kukomesha watu hivo lohPhase 4,alimpa kwanza ulaji pale Bank kubwa,then akaja mpa ubunge wa special seat,Jabali si alizinguana nalo vipi,likamtemesha kwanza umakamu mwenyekiti wa jumba kubwa linaloonhozwa na Kimbunga Jobo,ubunge kaukosa na mme kafariki,kabaki kua motivesheno sipika tu kama ulivyosema!
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]test zali mzeeNishaanza mchombeza DM insta .. niombe aelekee kibla
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mzee wa jalalani ile mijicho weee![emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa mia kenda ila yuko vizuri
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] inabid[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji16][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28]wachaga Leo wamesifiwa kitandani
Weee.wa msogaa balaa!yule bwanaa!enzi minista wa difensi alikula anakula kademu kamoja pale makongo tena kanafunzi....!!!yule mzee ana watoto magari ya mwendo kasi wanajaaa!ana mwingine yuko shytown pale na ana damu mbayaa anatoa copy!Sema mstaafu wa msoga nae alijua kutotoa mamaeee, sekta zote alipitia
Na best ake dili yule former mnyama spokesmanHajui km ni mdananda kwa hizo issue[emoji23]
Wameshajitoa sadaka miili yao and they don't want to work!Veeery cheap nashindwa kuwaelewa kabisaa
Dhuuuu ulibagen Kama maharage ya jumlaAsee uzi huu una mambo kweli, nilipita na Bongo movie kama watatu, hivi viumbe havijui kukataa ni pesa yako tu. Kuna Mmoja Steve alinifanyia Mpango nikampa laki moja na demu akataka laki 5, nilimchapa akaambulia nae laki tu, nikalala mbele