Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Phase 4 ni mwingi sana kawahi mfukuzia classmate wangu akiwa olevelWe jamaa,mbona unajua mambo mengi sana ya phase 4?? Ni kweli pale shytown,phase 4 ana mtoto wake pale anaitwa Jemima Mrisho kama sijakosea jina! Phase 4 alimfungulia stationery hivi karibu na kampuni ya Nchambi's, halafu yule demu hua anasema kabisa kwamba mshua wake ni phase 4!
Lakini phase 4,hajawahi kua minista wa difensi,yule kapiga Maji,Fedha, Foreign na ile post ya juu
[emoji16][emoji16][emoji15][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]acha bwanaa!!kumbeeee!daah!file langu loote hili desa halikuwepo mweeeeh!!!!!ngoja nilisaveMwarabu Koko alichepuka ndio maana jabali akashikwa na hasira
Na alikua anapenda videnti balaa phase 4 yaani mi hata binti yake alivopata 4 nilifurah!Phase 4 ni mwingi sana kawahi mfukuzia classmate wangu akiwa olevel
Ni yule mazaa waziri wa mda mrefu kweli kazi yake huwa ni kutetea tu serikali na kipindi cha kikokotoo Cha wastaafu alitinginya sana mamboCariiee....nianzie spanna ndogo nifingulie code ya uyu mr. Inbobo code haisomi
Hatari hao wadada walimdunda mwenzao ila alikuwa na focus na target zake, Mimi mtu akinidunda kisa mumewe ndo simwachi nazaa na mtoto kabisa na mumeo lohMnooo nakuambia yule na magi...e hatari wale wa kanda ya ziwa ni wanakula vichwa km vinyoziii....Yaap alimteka kumkomesha maana alikua anatembea na mmewe akapewa kisago kitakatifu haswaaa...!!!
Enzi hizo hapa jijini kulikua na kundi linaitwa Alqaeda,kulikua na yule Dada wa ICU,yule Dada semaji la mnyamaa aka Mrs Tyson,Mrs Kiroboto na the late Mrs mpknjia hao bwana wakijua unachuka Mme au bwana wao wanakuteka na kukudunda balaa!!!jiji hili bwana lina meengi sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na alikua anapenda videnti balaa phase 4 yaani mi hata binti yake alivopata 4 nilifurah!
Ma file ni mengi sana loh[emoji16][emoji16][emoji15][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]acha bwanaa!!kumbeeee!daah!file langu loote hili desa halikuwepo mweeeeh!!!!!ngoja nilisave
Nakubaliana na wewe,Kuna jamaa kwao Ni kigoma,wanaukaribu wa kifamilia na kigogo mmoja hv,jamaa akapata mchongo wa kumuendesha mama,imeenda kumbe mama kamtamani huyo jamaa...Wake zao wanaliwa balaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!!!!acha kabisaaa yaani ni mbwa kala mbwa!!
Hahhahaaa...wametikisa wale mjiii acha tu!Hatari hao wadada walimdunda mwenzao ila alikuwa na focus na target zake, Mimi mtu akinidunda kisa mumewe ndo simwachi nazaa na mtoto kabisa na mumeo loh
Mnoo mpk mengine yanaingia virus wee acha tu!!!Ma file ni mengi sana loh
Alikua ea bunge akawa ana critisize sana ccm hakujua jamaa yukojeIla jabal alimkata sana ngebe huyu na yule bimkubwa chai ngozi bangi aka muarabu koko...!!!sijui ht walimfanya nini
Wewe jamaa sikuwezi! Naomba nikupe tano za nguvu! Kama ni jeshini basi wewe ni Luteni GeneralHahaa..yaani uko sahihi kabisa then nilitaka kuandika kua amemfungulia mpk stationary looh!we nae uko juu balaa
Then nimekosea sio difensi ni minista wa nje kaahh!
Ana mwingine phase 4 kwa sasa ni soja yuko Wilaya ya Mheshimiwa DC anaetoka na Price breaker kwa sasa..siwezi mtaja jina dogo kwa kulinda heshima yake na ushkaji wake kwangu...!!then huyo dogo ana undugu na yule mtangaza wa the clean radio anatumia jina lenye mwezi wa sikuu ya wajinga ni half siblings!!!
Maza ake alimpaga hisani pale Chanel ya taifa ila the late stone alivoingia kamtumbua kwa vyeti fekii!!!!!
Yaani hata hakuogapa mvua 30??Phase 4 ni mwingi sana kawahi mfukuzia classmate wangu akiwa olevel
Wewe jamaa sikuwezi! Naomba nikupe tano za nguvu! Kama ni jeshini basi wewe ni Luteni General
Kumbee!akamueka benchi kwanza ili apinge vzr!!!Alikua ea bunge akawa ana critisize sana ccm hakujua jamaa yukoje
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wewe IGA ufungue duka kama hilo jirani kama hujala hasara utajuta, wenzio wanakuchora tu. Kazi yao kujaza risiti feki na kupeleka hela za mauzo benki lakini siyo mauzo ya nguo ujue. Utashangaa mtu anakuambia ana b4 benki utabaki mdomo wazi.Kaka kula tano, halafu kweli jamani ujue Mara kwa Mara nakua mitaa hyo lakini sioni wateja madukani mwao ila nashangaa wamepaki magari makali,wanaishi good life [emoji38][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]daaahh!mjini kuna mambo!partee afta partee everee deiii!!!
NaibuWe jamaa,mbona unajua mambo mengi sana ya phase 4?? Ni kweli pale shytown,phase 4 ana mtoto wake pale anaitwa Jemima Mrisho kama sijakosea jina! Phase 4 alimfungulia stationery hivi karibu na kampuni ya Nchambi's, halafu yule demu hua anasema kabisa kwamba mshua wake ni phase 4!
Lakini phase 4,hajawahi kua minista wa difensi,yule kapiga Maji,Fedha, Foreign na ile post ya juu
Tivu akee ndio plug yani ukitaka link tu na bongo movie unamcheki anaku connect hela yako tu!HV tivu Ake kumbe dalali kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nakubaliana na wewe,Kuna jamaa kwao Ni kigoma,wanaukaribu wa kifamilia na kigogo mmoja hv,jamaa akapata mchongo wa kumuendesha mama,imeenda kumbe mama kamtamani huyo jamaa...
Maza akawa anamletea mapichapicha mshikaji, jamaa alivyombugila kaenda kumsanua mzee kumuambia maza anamletea ndivyo sivyo....
Hv ninavyoongea mchizi karudi kwao kigoma anaendesha fuso
Mzee kampiga biti asikanyage mjini
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app