Na wadangaji Wana wivu sanaKabisa yaani..!wao wenyewe walikua wadangajii
Dawa ya moto ni motoHii inaitwa “kibri” [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkagame alikuwa anajipigia goma Hilo huku wakiendelea kufisadi hyo ministry nadhani alikuja kubadilishwa ministry angekuwa na damu ya kunguni angekuwa benchi sasa hiviHuyo Mkagame alikuwa anatamba kuwa ni mume wa Waziri. Kuna nyuzi zake humu zimezagaa JF kuhusu ubadirifu wake
Sasa huyo mama ameanza kuupiga tangu awamu ya phase 3 na almost top official's unategemea nini hapo, huyo jabali naye hivo hivo eti alikuwa kwemye grid naye sasa sijui wamzushiaUna maana Jabali alikuwa na grid?
Yes si before kwenda prison walikuwa na affair na shingo twigaHapa tumeachana, huyo mkagame alikuwa mahabusu hadi April 2021 alipotolewa na SSH. Soma Msamaha wa DPP Kwa aliyekuwa DG wa MSD ndugu Laurean Bwanakunu na Hatima ya Wahanga wa Uongozi wake MSD
Nakutumia sasa hivi [emoji3][emoji3]Nsukumie location sasa
[emoji1][emoji1][emoji1]
Akikupangia masaki mm nakuja
Kula bure kwenye restaurant
[emoji1][emoji14][emoji14]
Ewaaaa!!!Kwahiyo nikutesa kwa zamu [emoji27][emoji27][emoji27]
Balaa...hivi mtu kama Mrs Efm Leo amkute mmewe na demu ukute nae atamind akati yeye ndo alikua bingwa wa kuiba waume za watuu!!!Na wadangaji Wana wivu sana
Wotazo kwa kile kidemu aiseeeee! Ya skendo zote zile,Mwamba aliziba masikio! Akavuta chuma ndani! Aiseeeee! Suala la Marehemu kahausi na suala la Marehemu yule Mzee kaputeni Yohana Kamba!!Balaa...hivi mtu kama Mrs Efm Leo amkute mmewe na demu ukute nae atamind akati yeye ndo alikua bingwa wa kuiba waume za watuu!!!
Safi sanaEwaaaa!!!
We kiloozi kileee kidada balaa!!!!unafikiri kwa akili yake....!!!!acha kabisa....Watazo kwa kile kidemu aiseeeee! Ya skendo zote zile,Mwamba aliziba masikio! Akavuta chuma ndani! Aiseeeee! Suala la Marehemu kahausi na suala la Marehemu yule Mzee kaputeni Yohana Kamba!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unaulizia kalio wakati umeshika mkia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kitakua kimepuliza ndumba kweli aiseeeeWe kiloozi kileee kidada balaa!!!!unafikiri kwa akili yake....!!!!acha kabisa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwl yuleSi yule mama minister ambaye ana zero IQ ila huwa hatumbuliwi anapeta tu kule mjengoni
Code zako kali nimebaki njiani au mi mshamba?[emoji12]Dr year alimnyang'anya demu kipindi ana mkwanja so alipoukwa u deputy minister akaamua amunyooshe
Hivi alishindwaje kumuoa pisi kali ya rick rozay aliyozaa nayo, kaoa hiki kipimbi kilimegwagwa parking za coco beach.We kiloozi kileee kidada balaa!!!!unafikiri kwa akili yake....!!!!acha kabisa....
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Wema ndo imetokaa hiyo bye byee
Khaa jmn acha ninenepe tuAliharibu alivyo ji “anaconda”
[emoji23][emoji23]uwiiii[emoji23][emoji23]eti anaji anaconda sikuhizi wazungu wenyewe wanaongeza makalio sikuhizi English figure zimepitwa na wakati aisee
[emoji23][emoji23]chawa ndo habari ya mjini[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nambie mpenzi!!!nipoo sasa hivi nna shosti huyooo chawa balaa ananipa maumbea yooote!hapa nasubiri tukikutana tu!!!nipate mpyaaa mpyaa!!!