Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Huyo Mkagame alikuwa anatamba kuwa ni mume wa Waziri. Kuna nyuzi zake humu zimezagaa JF kuhusu ubadirifu wake
Mkagame alikuwa anajipigia goma Hilo huku wakiendelea kufisadi hyo ministry nadhani alikuja kubadilishwa ministry angekuwa na damu ya kunguni angekuwa benchi sasa hivi
 
Balaa...hivi mtu kama Mrs Efm Leo amkute mmewe na demu ukute nae atamind akati yeye ndo alikua bingwa wa kuiba waume za watuu!!!
Wotazo kwa kile kidemu aiseeeee! Ya skendo zote zile,Mwamba aliziba masikio! Akavuta chuma ndani! Aiseeeee! Suala la Marehemu kahausi na suala la Marehemu yule Mzee kaputeni Yohana Kamba!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom