Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Amejitahidi sana hongera zake.cariha
reymage
Extrovert
Dada yenu anazidi kufanya upande cheki video hii ya leo
View attachment 1888621
[emoji23][emoji23]hyo rahisi hivo umemusahau yule Dr Year anayejifanyiaga promo mara clouds ana wake kibaoCode zako kali nimebaki njiani au mi mshamba?[emoji12]
JunaitharYule alioa dada wa mjini halafu akamfumania ndani kwake ndoa yao hata Xmass mbili hainaa!!mdada anauza vipodozi yeye mwenyewe USO wake una mapele kama wanguu!![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]!!!!!Kaka handsome balaaaa!!!!Hapana sio mmiliki wa triple 7
Weka hilo neno kwa lugha ya kiswahiliBorder way ndiyo nini jamani mbona hivyo wenzenu mnachotufanyia sio kabisa [emoji849]
AnaUbongo wakuingia humuMbona haifunguki ngoja nika I check it seems huwa anapita humu jukwaani
Yule malaika mweupe? au wamaperamihogo?Ni yule mazaa waziri wa mda mrefu kweli kazi yake huwa ni kutetea tu serikali na kipindi cha kikokotoo Cha wastaafu alitinginya sana mambo
Kwahio yule JB wa mwendokasi ndio alimgumia mkewe analiwa mchebwedee mjengoni😅😅😅Yule alioa dada wa mjini halafu akamfumania ndani kwake ndoa yao hata Xmass mbili hainaa!!mdada anauza vipodozi yeye mwenyewe USO wake una mapele kama wanguu!![emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]!!!!!Kaka handsome balaaaa!!!!Hapana sio mmiliki wa triple 7
WamaperamihogoYule malaika mweupe? au wamaperamihogo?
Na awe VAT registered kabisaHii shughuli steve itabidi aanze kuilipia kodi mkuu
Border ni (Mpaka)! Na way ni (njia)! Sasa unganisha maneno yaliyo kwenye mabanoBorder way ndiyo nini jamani mbona hivyo wenzenu mnachotufanyia sio kabisa [emoji849]
Shingo jirafu ni nan uyu? Au teacher wa Tanga yuleYes si before kwenda prison walikuwa na affair na shingo twiga
Network error....
Tupo twenye shida nae, tatizo hela!Wema amedoda sijui nani atamtaka tena
MpakanjiaBorder way ndiyo nini jamani mbona hivyo wenzenu mnachotufanyia sio kabisa [emoji849]
Mpk bongo movie...yupi??!!!daaahhh!!!Hata yule bongo movie alizaa nae mtoto wa kiume hanshamu boy mwenye jina km la wale watoto wa marehemu aliyeondoka na bongo movie yake
Eti ni kweli anatoa Tigo?Balaa...kihaya kile halafu kijanja Sana'a maana angetokea pale angeenda wapi tena na hivi alikua senior bachelor!!! Hahahahhha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua kasheshe bidada bajeti ya harusi 100mils weee!a day before mke kachomoa betri!!!naskia alikua anazimia mda woteOnhooo