Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Alizaa nae we huoni kila mtt na baba ake, shoga ako yanamfika mazito, anaroga usiku na mchana
ndo mana hata ndoa ilipooza kama mkojo wa ngedere, bwana zipu mkononi

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapo ndoa ilifungwa kijusi kilikua kishatungwa... mi nikashangaa kwa mashauzi yake mbona ndoa imepooza km uji uliotiwa chumvi ya mawe
 
Hana maajabu anajua akitoka pale hana pa kwenda ataonekana kunguru hafugiki muache yamrudie kama alivyokua anawaliza wanawake wenziwe,unajua ashawahi katwa viwembe kariakooo yule na Mke wa MTU enzi hizo kimeacha shule pale perfect vision...
Huyo Mr Singeli anawalamba kama wote, anakuja nao mpk kwenye vikao yule Malkia wa uingereza habari yake ishaisha ametulia tu saivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Afu ujue mr singeli alizaa kweli na yule chikonda wa magic fm... mweeh umbea utatuua wallah[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji16]halafu yasemekana wanakulana mpk kesho eti yule betina na bwana Chidi...

Hivi wajua boss wa singeli anaitwa jina ...Km msanii aloimba Daresalaam Stand up!!!!ndo jina lake haliisi!!!halafu kati kuna moo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alizaa nae we huoni kila mtt na baba ake, shoga ako yanamfika mazito, anaroga usiku na mchana
ndo mana hata ndoa ilipooza kama mkojo wa ngedere, bwana zipu mkononi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ndoa yake ilimaliza hata Xmass NNE kweli?!!maana wadada wa mjini kaaah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]!hawaoleki..
Kama kuna watu hawavumi lakini wamo ni spokeswoman wa mnyamaa..yule nae kivuruge hatarii...

Simba mwendo mdogo mdogo yule!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya turudi darasa la 3b[emoji3]
Jaza nafasi zilizoachwa wazi
Od-m- (jaza kwa kutumia herufi ya kwanza kabisaa)
[emoji17][emoji17][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]mamaaaa....whaaaaaat?!!!!!!!weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!Dunia hiii....mbea wangu yaani siku zote asinambie mambo hayaaa....sikubalu naenda kumdai pesa yangu ya Savannah nazompa ili abwatuke[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapo ndoa ilifungwa kijusi kilikua kishatungwa... mi nikashangaa kwa mashauzi yake mbona ndoa imepooza km uji uliotiwa chumvi ya mawe
Halafu kimya kimya Dada anavopenda mashauzi yule ila kafanya km ya mkeka au kaogopa juju kwa wake wenzaa!![emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko vzr umeelewa sana na Sana'a!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Najitahidi [emoji2][emoji2][emoji2]
Eeeh habar ndo hiyo shoo, alikua mme kabisaa ndo hvyo akafumaniwa tena ndani ndo bwana kuhamia kwa mtoto tessy
nmeona Tessy yuko Kwenye majangwa[emoji23][emoji23][emoji23] sema nae ajifunze kuvaa anavaa kama Masha
Na hapo ndoa ilifungwa kijusi kilikua kishatungwa... mi nikashangaa kwa mashauzi yake mbona ndoa imepooza km uji uliotiwa chumvi ya mawe
Shoga ako nyimbo hana anasingizia utu uzima [emoji28][emoji28][emoji28] Mambo yalonyooka utayaona tu bila darubini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najitahidi [emoji2][emoji2][emoji2]nmeona Tessy yuko Kwenye majangwa[emoji23][emoji23][emoji23] sema nae ajifunze kuvaa anavaa kama Masha Shoga ako nyimbo hana anasingizia utu uzima [emoji28][emoji28][emoji28] Mambo yalonyooka utayaona tu bila darubini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa...kapelekwa na bwana handsome yaani kama umemuona huko majangwani shostiii!!!!!!kaamua ajitulize kwa mtoto mrembo chokoleteee!
Hahahaha!kuvaa nako kipaji jamanii!!yule Dada bado kuvaa hajajua kashazoa Madera alokua anashindia kwa baba mozaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mama biskuti ni ex wa mkata mauno wa (waclean bebi)na bar ilikua maikocheni nao iko nje ya mji hukoo!!!
Hivi ile the Lux bado ipo au ndio wazee wa Task force wameshafanya yao 😂
 
Hana maajabu anajua akitoka pale hana pa kwenda ataonekana kunguru hafugiki muache yamrudie kama alivyokua anawaliza wanawake wenziwe,unajua ashawahi katwa viwembe kariakooo yule na Mke wa MTU enzi hizo kimeacha shule pale perfect vision...[emoji3][emoji16]halafu yasemekana wanakulana mpk kesho eti yule betina na bwana Chidi...

Hivi wajua boss wa singeli anaitwa jina ...Km msanii aloimba Daresalaam Stand up!!!!ndo jina lake haliisi!!!halafu kati kuna moo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Abeeee sio papa francis tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom