Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Hivi ndoa yake ilimaliza hata Xmass NNE kweli?!!maana wadada wa mjini kaaah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]!hawaoleki..
Kama kuna watu hawavumi lakini wamo ni spokeswoman wa mnyamaa..yule nae kivuruge hatarii...

Simba mwendo mdogo mdogo yule!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka spokeswoman ndo yupi huyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji17][emoji17][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]mamaaaa....whaaaaaat?!!!!!!!weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!Dunia hiii....mbea wangu yaani siku zote asinambie mambo hayaaa....sikubalu naenda kumdai pesa yangu ya Savannah nazompa ili abwatuke[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie akupe na akupe tenaaa[emoji23] sema bidada yupo vzuri yupo na mjengo wake swafiii pale kino karibu na mitaa ya studio ila mi nampenda ni mpole afu hana skendo za kiduwanzi, hivi alishajifungua???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom