Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Atakuwa mchicha bwax huyo hafu toka ametoka redio number moja alikoenda amekuwa na kiherehere ka nini, pia waja wadai eti anaweza kuwa donkey wa Yale mambo ya ngau
Inawezekana aisee maana sahv watu wamejaa tamaa sanaa
 
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16]sio kwa kodi hii lakini nimeelewa...hakuna bwaanaa...mchicha mwiba tuu!!!
Hata sio anonimaz wala nini!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi naogopa kuwamention nasubiri mpk mtu mmoja ajipopoe mi niongezee maana uzi una viewer's 58k sio masiharaa etii!![emoji56][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi naogopa kuwamention nasubiri mpk mtu mmoja ajipopoe mi niongezee maana uzi una viewer's 58k sio masiharaa etii!![emoji56][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni noma! Ila unaweza tembea na codes tu, wenye kunga'amua wataweza!
 
Hiyo gheresha tu km mvua za vuli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…