reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Msanii huyooo!dume la nyani kwioo!kuna vitoto vya kimanyema balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii huyooo!dume la nyani kwioo!kuna vitoto vya kimanyema balaa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bahili na nusu yuleKanjibai bahili kweli kweli yani hadi wadada hula corner
[emoji3][emoji3][emoji3]tena yule balaa!bongo movie wakijua una pesa unarogwa na familia nzima wanashirikiana kuanza mama,kaka Dada na vilembwee!!!balaaaaSana wale Lulu mwenyewe baada ya
Kumfunika majizo akaamua ajitulize
Kabisa
Wema kukata utumbo kumemharibia hivi ujue pale anavaaga nguo mbilimbili huku chini!!anatisha balaa!!!Yaani wema anajutaaLikiisha nguvu atakuwa ka wema sepetu sasa hivi
Njoo basi mremboEnjooiiiiiiiiii hahaaaha
C lazma wale kwako Kama[emoji3][emoji3][emoji3]tena yule balaa!bongo movie wakijua una pesa unarogwa na familia nzima wanashirikiana kuanza mama,kaka Dada na vilembwee!!!balaaaa
Ziwa Tanganyika lina beaches nzuri sana swma Waha hawajawekezaPazuri mashallah
Kabisaaa Yaani ila yeye akiguswa anavolalamika yule hanaga mfanoo!!anajua siri za watu na za kwake zinajulikana mbona!wanamstahi tuu...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Yule mjinga Hana
Break Ila anaemuweza n shafii dauda Tu
Manara anasir za wengi ndo maana
Wanaogopa kuingilia ogomvi wake
Maana wanajua hii gar la maji taka
Mda wowote linapita[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kitenge nae mdomo mrefu Sana yule
Waha hapo unajua n Kama wachaga/wahayaZiwa Tanganyika lina beaches nzuri sana swma Waha hawajawekeza
Waha tena wavivu balaa na wamanyema wamekutana wanngewekeza sasa hukoo kunogeeZiwa Tanganyika lina beaches nzuri sana swma Waha hawajawekeza
Soma utamjua tuuMr inbox ndio nan tena code ngumu hii
Yataanikwa Sana maana alikua anajifichaKabisaaa Yaani ila yeye akiguswa anavolalamika mbwa yule hanaga mfanoo!!anajua siri za watu na za kwake zinajulikana mbona!wanamstahi tuu...
Ila ni mshenzi tu!ila kwa sasa anakoelekea ya kwake yooote yatakaa hadharani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!acha kabisaaa Yaani wanahakikisha wanatafuta waganga mpk msumbiji wakuweke sawaC lazma wale kwako Kama
Umeingia box hawakuach[emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ana channel inaitwa manara TV!atakua anaonesha upuuzi wake binafsi Mimi nshamdharau toka atoke Simba!Yataanikwa Sana maana alikua anajificha
Kivul cha Simba Kwa sasa alvo nje
Anachofanya n kuita Tu press zile za udaku
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Maana hakuna redio inayoweza kupeleka
Mwanahabari wake kwenye press ya manara
Kwa sasa
Ooh muha sio mvivu kabisa sema wengi wameikimbia kigomaWaha tena wavivu balaa na wamanyema wamekutana wanngewekeza sasa hukoo kunogee
Alaf wakija public kujifanya swala 5 na ulokole[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]!!!!acha kabisaaa Yaani wanahakikisha wanatafuta waganga mpk msumbiji wakuweke sawa
PMMr inbox ndio nan tena code ngumu hii
Hyo channel akiigeuza ya udaku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ana channel inaitwa manara TV!atakua anaonesha upuuzi wake binafsi Mimi nshamdharau toka atoke Simba!