Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Yule mjinga Hana
Break Ila anaemuweza n shafii dauda Tu

Manara anasir za wengi ndo maana
Wanaogopa kuingilia ogomvi wake
Maana wanajua hii gar la maji taka
Mda wowote linapita[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kitenge nae mdomo mrefu Sana yule
Kabisaaa Yaani ila yeye akiguswa anavolalamika yule hanaga mfanoo!!anajua siri za watu na za kwake zinajulikana mbona!wanamstahi tuu...
Ila ni mshenzi tu!ila kwa sasa anakoelekea ya kwake yooote yatakaa hadharani

Anapenda sana kufichua siri za wenziwe
 
Kabisaaa Yaani ila yeye akiguswa anavolalamika mbwa yule hanaga mfanoo!!anajua siri za watu na za kwake zinajulikana mbona!wanamstahi tuu...
Ila ni mshenzi tu!ila kwa sasa anakoelekea ya kwake yooote yatakaa hadharani
Yataanikwa Sana maana alikua anajificha
Kivul cha Simba Kwa sasa alvo nje
Anachofanya n kuita Tu press zile za udaku
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Maana hakuna redio inayoweza kupeleka
Mwanahabari wake kwenye press ya manara
Kwa sasa
 
Yataanikwa Sana maana alikua anajificha
Kivul cha Simba Kwa sasa alvo nje
Anachofanya n kuita Tu press zile za udaku
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Maana hakuna redio inayoweza kupeleka
Mwanahabari wake kwenye press ya manara
Kwa sasa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ana channel inaitwa manara TV!atakua anaonesha upuuzi wake binafsi Mimi nshamdharau toka atoke Simba!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ana channel inaitwa manara TV!atakua anaonesha upuuzi wake binafsi Mimi nshamdharau toka atoke Simba!
Hyo channel akiigeuza ya udaku
Hata GSM na bakhresa wataachana nae
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom