Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji23][emoji23]Hana kitu yule kabaki mjiti tu Hata tusupu hana
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Hana kitu yule kabaki mjiti tu Hata tusupu hana
Haa haa mie mpaka sahizi nahangaika nao [emoji1][emoji3], tatizo CODE nyingi sanaDah mpaka nimalize kusoma huu uzi ni saa 8 mchana.
Punguzeni kasi jamani.
Sikuhizi baadhi ya wake za watu wapo vzr[emoji3]Shoooo!yule mbona kitamboo kashasepaaaa....akaja danga jingine mkewe akaenda kufanya vurugu saluni paleee akavunja vitu vyote vya Tessy Bible alihongwa...!huyu mwingine!
Namba 2 na 5 ndiyo nani vile?[emoji27]1. Phase 4
2. Marehemu border Njiwa
3. Marehemu Bishop wa kanisa moja la nasadiki huko kanda ya ziwa
4. Msaidizi wa huyu bishop,hadi walipanga kufunga na ndoa
5. Marehemu Yumba Yumba
6. Tajiri moja la Mwanza lenye kiwanda cha lacococa!
7. Yule jamaa aliyemkimbia dakika za mwisho kwenye kufunga ndoa
8. Marehemu Likwe
Jicho kama pera jekundu bovu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mzee wa jalalani ile mijicho weee!
Border way ndiyo nini jamani mbona hivyo wenzenu mnachotufanyia sio kabisa [emoji849]We born town kweli...umepita mle mle rafiki!ashawahi kutekwa na mke wa border way....!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa sijibu maswali hadi nifikishe watalii tunduni, unajua ukiwa unapanda mlima na safari imekolea utagawa gari, nyumba na viwanja hivi hivi[emoji1787][emoji1787]
Jmn sasa haitamletea shida?Kakata utumbo halafu hakumaliza dozi maana alipelekwa bure alivorudi wahisani akawafungia viooo vya mbao hvyo hakupewa namna procedures za kuishi na ile hali!hapo ndo alifeli mpk kua vile
Balaa...kihaya kile halafu kijanja Sana'a maana angetokea pale angeenda wapi tena na hivi alikua senior bachelor!!! Hahahahhha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kitakua kimepuliza ndumba kweli aiseeee
Ndumba tu kuzidiana baaasii!!!na kale kashoti chesisi kikichukua bwanaa ako harudi ng'ooooo!!!unaambiwa kanajua mambo balaa..ukiplus ndumba tenaa!Hivi alishindwaje kumuoa pisi kali ya rick rozay aliyozaa nayo, kaoa hiki kipimbi kilimegwagwa parking za coco beach.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Balaa wahuni mnooo!wake za watuSikuhizi baadhi ya wake za watu wapo vzr[emoji3]
Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Looh!Mkewe alikua mtangazaji wa mawingu studio,namba 5.Chui chuiNamba 2 na 5 ndiyo nani vile?[emoji27]
Hata yule bongo movie alizaa nae mtoto wa kiume hanshamu boy mwenye jina km la wale watoto wa marehemu aliyeondoka na bongo movie yakeWeee.wa msogaa balaa!yule bwanaa!enzi minista wa difensi alikula anakula kademu kamoja pale makongo tena kanafunzi....!!!yule mzee ana watoto magari ya mwendo kasi wanajaaa!ana mwingine yuko shytown pale na ana damu mbayaa anatoa copy!
Umeona eeehNa best ake dili yule former mnyama spokesman
Halafu wanafungua business zinazofanana wanataka v2 vilaini laini tuWameshajitoa sadaka miili yao and they don't want to work!
OnhoooAlikua ana church marriage mke akapeleka cheti kanisani...
Alimchitiiiii[emoji23] jabali alikua hataki kuchitiwaIla jabal alimkata sana ngebe huyu na yule bimkubwa chai ngozi bangi aka muarabu koko...!!!sijui ht walimfanya nini
Dooo aise asante kweli fumbo mfumbe ......mwerevu atafumbua [emoji3][emoji3]