usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Ww unaona Yule dogo kaoa amaKumbe na mtungo alishapigwa[emoji23] sasa nini kinamshawishi mtu aoe hio takataka
Kaolewa? [emoji1][emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unaona Yule dogo kaoa amaKumbe na mtungo alishapigwa[emoji23] sasa nini kinamshawishi mtu aoe hio takataka
Hivi chikonda ndo huyu salama condom ni bombaa?Huyo chikonda naskia ni mwanga mbaya sana
Ndio huyo huyoHivi chikonda ndo huyu salama condom ni bombaa?
Imenibidi nizame kwenye jamuhuri ya wakuda kumsaka dogo maana nilikuwa simjui ila kwa jinsi kalivyo nimedhihirisha kweli wa Msoga Empire. Inaonekana pia lile fungu la ustawi anapata mgao mzuri 😂😂😂Akileta kiherehere analiwa kichwaa tuuu!na kale katoto kamefanana na mzee wa bagawise bwanaaa Jana ilibidi nirudi kucheki sura zimetambaa mle mlee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kujitia ujingaa tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Halafu kuna siku kajitutumua kupost jipost reeeefu eti she is comfortable, hajisikii sijui vibaya kuwa na watoto wa baba tofauti..... akaanza kupambwa na wenzie kina mama jujuju
Dogo amekula hasara licha tu ya kuolewa 😂Ww unaona Yule dogo kaoa ama
Kaolewa? [emoji1][emoji1][emoji1]
Alaf wako wengi bas wanafarijianaDogo amekula hasara licha tu ya kuolewa [emoji23]
Yaani laana tayari haiji mara 2 wakati yakwanza haijaisha [emoji18]
Ile manta ya ki arachuga😂 naskia ni ya ki shizzo kwao hela ipo so dogo janja anakula gentle slope aka 45’ degrees kitowngerni!Kuna pi's ako nayo Kwa sasa nfkir n kama
Wote wako line moja
Hana hela bana ..Kuna gereji fucken kaifungua pale k'nyama huyo motivation speaker, kamfungulia huyo mariooSheby ana mpunga? Wakati wanaoana nilisikia ni dei waka tu mjini, dada ndio analea kumbe sio hivo?
Ile gereji ni yake? Kazi kujisifia tu ukifika pale na kazi hajui[emoji848]Sheby ana mpunga, katelefone ni mjomba wake kabisa! Na ndiyo kakuliwa na kulelewa na katelefone
Pale alitakiwa afanye maisha sasaKipnd kile alivyopewa wizars ya minerals ndo akajua baasi ashamaliza kila kitu hakujua km jabali ni mwingi wa visasi na malipizi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa Kwa matanuz yote YaleIle manta ya ki arachuga[emoji23] naskia ni ya ki shizzo kwao hela ipo so dogo janja anakula gentle slope aka 45’ degrees kitowngerni!
Kaolewa....[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Ww unaona Yule dogo kaoa ama
Kaolewa? [emoji1][emoji1][emoji1]
Mtumeeeeee[emoji134][emoji134][emoji134]Hana hela bana ..Kuna gereji fucken kaifungua pale k'nyama huyo motivation speaker, kamfungulia huyo marioo
Hahahahaah!daahhhHana hela bana ..Kuna gereji fucken kaifungua pale k'nyama huyo motivation speaker, kamfungulia huyo marioo
Na kahamia Kwa mkewe kabisa
Eeh manz kuna mahali atakuwa analokota pesa. Sio swala la kizembe[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa Kwa matanuz yote Yale
Wanayokula manta ndo alasababisha
Mpango mzma
Ila bongo muvi mix bongo
Fleva Ben10 wa huko wameamua
Hawak kuchoka
Kitonga kwao kuteremka Tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aahh!siku izi ngoma haitishi bwana!!!Alaf wako wengi bas wanafarijiana
Bora uhai hawajali ya watu
[emoji1][emoji1][emoji1]
Wakaka wa mjini bwana ndo maana wanapigwa mishindoooNa kahamia Kwa mkewe kabisa
Majohe nyumba iliyojengwa na
Wanaume wenzie aiseeee
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]