Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Nikiwaza kile kiharufu cha ngenya chakavu duh! Vibi huwa vinanukaga harufu za ajabu flani halafu et kijana mtanashati nizamie pangoni nipige deki [emoji18][emoji18][emoji18]
Njaaa mbaya bwana weee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Watu wana njaa mzee baba! Mtu anatafta mchomoko mule ni kupeleka moto tu apate chochote kitu[emoji28]
Vijana washenz Sana yani
Wakibwia vilev nyag na vant
Hata hawaskii kitu yanu
 
Nimeamini kweli DUNIANI maisha ya mtu ni siri huwezi jua kila kitu mtu kumuhusu

JOKATE wakati anateuliwa alikuwa tayri ameagiza CONTENA kama sio moja basi mbili za School bag na vifaa vya shule peni pensel nk
vilikuwa na logo yake ya kidoti
sasa alipoteuliwa na akawa na ile moto ya TOKOMEZA ZIRO kuhusiana na mambo ya shuleshule

kutokana na hiyo ishu nadhani watu zke walimshauri aachabe na hizo ishu ili isionekane anapigia debe bidhaa zake
so akaanua kuuza kwa promosheni school bag kwa bei ya kurudisha msingi maana alikuwa anauza nusu bei kulingana na ubora wa begi
Nina jamaa namjua u ana kampuni yke ndio alipewa tenda ya kuuza mzigo huo
sasa kibongo kuwa na msingi wa school bag na bidhaa za shule contena km mbili si haba
hvyo kusema km si kuteuliwa angekuwa kafulia sidhani
naweza sema mpk ss hivi anafanya biashara ila kimyakimya mana ukishakuwa serikalini inabidi umonitor bussnes zako kimyakimya sio km wasanii kupenda show off kuonekana
Jokate ana Bonge la Shule Arusha (Eneo la Maji ya Chai)
 
Tatizo hela za KUHONGWA Ni Kama pepo ukizipata zinaanza kukuwasha,unaanza KUfiKIRIA kufinalize last assignment slay queen show off nyingi... WACHACHE SANA NI WAWILI KATI YA 100 NDO WANAPIGA HATUA
Hela za bure bure huwa ka za kimajini zina yeyuka tu, hafu nimemuona uwoya karudi inaonyesha kasoma humu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom