Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Loydemich na Irene Uwoya wavinjari Dubai kwa zaidi ya mwezi mmoja

Status
Not open for further replies.
Ila huyu kumi na mbili anaga hizo mishe Sema watu wanamuongelea tu vibaya
Kaa kutulia hujui kituu!!![emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji55][emoji55][emoji55][emoji55][emoji55][emoji28][emoji28][emoji28]!!yule mchicha mwiba ana mtoto mkubwa nafikiri yuko std 6,7 au form 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kauza Sanaaa na hilo kasemaa?!!

Wasituchoshe kama kina Jiko La wazi...wamefanya upundaa na kukoboana sasa hivi wameokoka!!wamekua motivational spikaz!!na mbulu muuza dawa za kupungua ye mwili temboo!wamekua mapunda mpk wamegombana wamedhulumiana nawadaiz wanajifanya walokole...ptuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app

Heee! Kumbe jiko la wazi nae anakoboana????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom