reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hahahaha!!imekula kwake hyoo mazeeMr inbox Ana ndoto za kuwa mkuu wa Kaya
Wazee wa network wanaweza mpitia na skandali akachafuka mazima .
Huwezi kula changu halafu ukae jumba jeupe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha!!imekula kwake hyoo mazeeMr inbox Ana ndoto za kuwa mkuu wa Kaya
Wazee wa network wanaweza mpitia na skandali akachafuka mazima .
Huwezi kula changu halafu ukae jumba jeupe
Kashatoka nafikiri alikua anauza pia ile nyumba sijui ishauzwaaKumbe bb mtt wake ameshatoka jela loh, nlkua sina hii hbr.
Mr singeli waterzoo eeh[emoji23]Reymage nifungulie code ya mr singel
Mshindue kaelewa flagi hiloo!kula wotee MTU na best ake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ulikuepo vile yani alichokifanya
Kanipa number na mm number
Nkaunga trella[emoji23][emoji1][emoji1] na jina kabisa
Kanipa
Kumbe number aliyonipa n yake nyingine
Mm nafkir n best Ake kumbe n yeye
Yani nmechoka Hoi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Namtaka rafki ake sasa anajileta yeye
Jaman
Nop nyumba sio yake,mwenye nyumba anaitwa johny ni mpigaji kma ndama,alipiga hela ndefu akajenga hiyo nyumbaAaah kama ndio hivyo basi haina makeke
Ahaa huyo jamaa sindio bahasha wakeNop nyumba sio yake,mwenye nyumba anaitwa johny ni mpigaji kma ndama,alipiga hela ndefu akajenga hiyo nyumba
Alizaa nae na wasafi walipolipa kodi hiyo pesa ndio ilimsaidia kumaliza kesi,mana walilipa kodi ya miaka 2 au 3....kuna jamaa yng ndio mshkaji wa huyo mpigaji kitamboAhaa huyo jamaa sindio bahasha wake
Umekunywa maji kweli leo hii? Kila nikitoka nakurudi upo haa haa, usiku mwema!Ahaa huyo jamaa sindio bahasha wake
Kwahio mwamba alitoka jelaAlizaa nae na wasafi walipolipa kodi hiyo pesa ndio ilimsaidia kumaliza kesi,mana walilipa kodi ya miaka 2 au 3....kuna jamaa yng ndio mshkaji wa huyo mpigaji kitambo
Ndio kwanza nimekuja hapa tena😂 ulale salamaUmekunywa maji kweli leo hii? Kila nikitoka nakurudi upo haa haa, usiku mwema!
Amina [emoji3]Ndio kwanza nimekuja hapa tena[emoji23] ulale salama
Eeh mwanasheria uchwara mbebaji pochi kmmmk walai![emoji23] Wanaume tukikosa hela tunadhalilika sana
Maajabu hayaishi duniani lohHizo ni stori za wenye matatizo,ingekua hivyo watu wangejaa kwa huyo mganga na mama zao....no pain no gain
Poleni inabidi mdaigi hela cash, niliskia yule Rocka wa mwendokasi kamlamba mtoto nana dollz kwa kumfanyisha video vixen kisha badala ya 500k akamtia 50k
Huyo nanaa ni malaya tangu akiwa secondary kwao huko manyara na anatafta ustaa kinguvu
Watu wafanye kazi hela zipo,kuna dogo anaitwa ally alikua anatembea na tunda...dogo 2014 alipiga zaidi ya 1bn kwenye mgodi wa kwao,akanunua nyumba shanty moshi,akanunua nyumba 4 chuga plus kula burudani,pesa zipo bila ndumba wala niniMaajabu hayaishi duniani loh
Baaas baaas nmekunyaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mr singeli waterzoo eeh[emoji23]
I agree with you, ila wengine hutumia dumba sana tu Ili kuharakisha utajiriWatu wafanye kazi hela zipo,kuna dogo anaitwa ally alikua anatembea na tunda...dogo 2014 alipiga zaidi ya 1bn kwenye mgodi wa kwao,akanunua nyumba shanty moshi,akanunua nyumba 4 chuga plus kula burudani,pesa zipo bila ndumba wala nini
Nanaa yuko vizuri kwa udangaji na hyo k imeenda maelfu ya mileagesRagiki yakebNasmaw ni couzin wng sema huyu cuzn wng ni fala haletagi umbea fresh sababu anamuhusudisha sana nana ila kwa maongez yake madogo madogo yule dada ni mdangsjinhatari tena wa chinichini.