Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Mshahara wa DC ni 4.6mlMshahara wa DC ni mdogo hauzidi million mbili sasa akitaka iPhone 12 kwa mshahara wake majukumu yatamshinda lazima adange kwa mtu kama vunjabei mtu anatoa B2 simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara wa DC ni 4.6mlMshahara wa DC ni mdogo hauzidi million mbili sasa akitaka iPhone 12 kwa mshahara wake majukumu yatamshinda lazima adange kwa mtu kama vunjabei mtu anatoa B2 simba.
Mkuu PM hata picha basi na sisi tusuuze machoHuyu Dada nampata aisee
Nilishawahi panda nae Basi siku moja daaah nili chachawa Sana nahisi wanaume waliokuwa kwenye lile Basi wote walidinda [emoji1787][emoji1787] sio kwa ule mshepu kudadadeki
Akashukia pale mwenge mataa kutoka Tanga
Damn nilitaka kushuka nikaombe namba nafsi ikaniambia tulia huna hela tafuta hela Kwanza .
Hahahahah hapa mnavyosema analiwa na price breaker mmenikata maini kabisa [emoji1]
Kwani mzee Stone age hakumuachia mradi wa maana huy jojo Kama wengine ambao aliwaonga NHCMshahara wa DC ni mdogo hauzidi million mbili sasa akitaka iPhone 12 kwa mshahara wake majukumu yatamshinda lazima adange kwa mtu kama vunjabei mtu anatoa B2 simba.
Lile hips lake ni la hatari na ogiii flani hivi, sikuhizi anatoka na price breaker na anakaa tangaHuyu Dada nampata aisee
Nilishawahi panda nae Basi siku moja daaah nili chachawa Sana nahisi wanaume waliokuwa kwenye lile Basi wote walidinda [emoji1787][emoji1787] sio kwa ule mshepu kudadadeki
Akashukia pale mwenge mataa kutoka Tanga
Damn nilitaka kushuka nikaombe namba nafsi ikaniambia tulia huna hela tafuta hela Kwanza .
Hahahahah hapa mnavyosema analiwa na price breaker mmenikata maini kabisa [emoji1]
Sasa mobero kazi yake huwa ni uharibifu tu atarudi tu Ili amukomoe Jojo hapo I think.Hahahahahh!!mjini akili tu! Vunja kwa sasa hayuko na mobetto!
Dada DC ye aendeleee tu!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nadhani sasa hivi atakuwa anaenda Nigeria baada ya waganga kuvujisha voice note zake kwa Wana igKale ka mobetto kanaonekana kanajua vilinge vingi Sana hapa bongo sasa kataanza kuvuks boda[emoji1787][emoji1]
Pisi gani aiseeLile hips lake ni la hatari na ogiii flani hivi, sikuhizi anatoka na price breaker na anakaa tanga
Unataka kuniambia hawa watu ni wajinga kiasi cha kushindwa kupima HIV kabla hawajatiana?Mhhhh Fred pale anafuta umaarufu aisee
Yani nae ataanza kutembea na nguzo za REA
kisa kapenda
Yeah anakaa Tanga ila dar anakuja dailyLile hips lake ni la hatari na ogiii flani hivi, sikuhizi anatoka na price breaker na anakaa tanga
Code mzeeUnataka kuniambia hawa watu ni wajinga kiasi cha kushindwa kupima HIV kabla hawajatiana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora usijue maana mnavujisha code kizembe sanaPisi gani aisee
Basi tuseme kipendacho roho hulaUnataka kuniambia hawa watu ni wajinga kiasi cha kushindwa kupima HIV kabla hawajatiana?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Bora usijue maana mnavujisha code kizembe sana
[emoji23][emoji23][emoji23]umeshindwa vumilia?Yani hata pm nongwa?
4.6m labda za zimbabwe,RC ndio anapata mshahara huo na waziri sio dc mtu anamiliki wilayaMshahara wa DC ni 4.6ml
Mkuu hujui tulia, head of department tu wanakula L.S 3.6 ...DC yuko huko4.6m labda za zimbabwe,RC ndio anapata mshahara huo na waziri sio dc mtu anamiliki wilaya
DC ni 3 mkuu sio 4 labda kama kila mkoa una rate zake ila mi nna uzoef na mkoa X so nmeona payroll yote iyo 4 ni scale ya RasMshahara wa DC ni 4.6ml
Akiacha kaachwaNa ameacha uchawi kweli huyu